Ni ukweli usiopingika kuwa ukitaka kuifaidi hiyo mifuko lazima uwe na si chini ya million 500 kwa miaka 25 ili kila mwezi upate million 5. Million 5 zinaweza kukulisha ila siyo kukufanya uishi kipapaa. Chini ya hapo, hutaifaidi hiyo mifuko.Mkuu ni vizuri umeleta hi mada, watu wengi hawajui government bonds zinafanya je faida au UTT utawasikia weka pesa UTT utapata faida kubwa hawajui masikini. Biashara ya hisa bonds fixed acc nk haziwezi kukulipa katika nchi kama Tanzania, yenye high lnflation rate, unstable exchange rate, low business transaction rate, unstable bank intrest nk ........wanao faidi hiyo finicial market ni wafanya biashara wenye idol finance au wapiga dili kubwa ndo njia peke ya kuficha pesa zao ila wewe menye kupata pension ya 100m uiweke benki upata 8% annually nu kupoteza pesa na mda