To you Ephen

Kazama, anamjua? Yani huu mtindo wa kushobokea ID ovyo kuna mtu tutasikia amepigwa pipe.

Yani wanashindwa hata kuomba pm zifunguliwe ili wakamwage sera zao huko, wanaishia kukata viuno majukwaani. Huu ni Uzi kama wa 10 wa dizaini hii.

Itabidi nianzishe kampeni ya kuwaomba wadada wa humu wafungue pm zao, madogo wana weweseka sana.
Haya mafala ndio yanajaz DM za wadada IG kule..

Mwaka jana niliingia ktk Dm ya Manzi wangu aisee kuna Dm's kama 5000 hivi.. majings yanasimp kinoma. Wanawapa wanawake vichwa vya kuvimba sana.
 
Haya mafala ndio yanajaz DM za wadada IG kule..

Mwaka jana niliingia ktk Dm ya Manzi wangu aisee kuna Dm's kama 5000 hivi.. majings yanasimp kinoma. Wanawapa wanawake vichwa vya kuvimba sana.
Bora hata huko IG mtu anazama DM baada ya kuona picha za manzi husika.

Ila njoo huku JF, madogo wanakula sana mayai ya kizungu. Muda wote nyege zipo machoni, wakiambiwa hata neno "Asante" wanadindisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom