Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 3,641
- 10,847
Haya mafala ndio yanajaz DM za wadada IG kule..Kazama, anamjua? Yani huu mtindo wa kushobokea ID ovyo kuna mtu tutasikia amepigwa pipe.
Yani wanashindwa hata kuomba pm zifunguliwe ili wakamwage sera zao huko, wanaishia kukata viuno majukwaani. Huu ni Uzi kama wa 10 wa dizaini hii.
Itabidi nianzishe kampeni ya kuwaomba wadada wa humu wafungue pm zao, madogo wana weweseka sana.
Mwaka jana niliingia ktk Dm ya Manzi wangu aisee kuna Dm's kama 5000 hivi.. majings yanasimp kinoma. Wanawapa wanawake vichwa vya kuvimba sana.