Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

Jamani nawaombeni tufike hatua tuwe na hekima na busara, sio kila kitu ni mzaha. Kuna mtu kaposti humu anawakebehi wahaya ambalo ni jambo sijalifurahia biafsi. Huu ni wakati wa majonzi sio wakati kurushiana vijembe,
kama wewe unaona huna msaada wowote nyamaza tu, sio unaanza kuposti ujinga sijui unamaanisha nini au nia yako nini.

Mimi nadhani ni wakati wa kufarijiana katika wakati mgumu kama huu na wala sio kuanza kutoa maneno ya dharau na kebehi. Chonde samahani tuwe waungwa hata kama tabia zetu ndivyo tulivyoumbika yanapotokea majanga kama yaliowakuta ndugu zetu tufarijiane mwenye uwezo wakusaidia asaidie kwa kile anachokiweza si kwamba msaada ni hela tu yapo mambo mengi ya kusaidiana hata kuwafariji ni msaada tosha.
 
Hivi yule Rugemalila aliyekua anagawa pesa za escrow nae si Muhaya? ameshindwa kutoa vihela vya mboga kwa ndg zake wa Bukoba. Angalau hata akina Reginald Mengi wachaga lakin wameonyesha upendo mkubwa sana wa kutoa milion 100. Hizi sifa za wahaya kujifanyaga wana hela sana ni za kijinga na naanza kuamini takwimu zinazosema mkoa wa Kagera ni miongoni mwa mikoa maskini sana Tanzania
 
Hivi yule Rugemalila aliyekua anagawa pesa za escrow nae si Muhaya? ameshindwa kutoa vihela vya mboga kwa ndg zake wa Bukoba. Angalau hata akina Reginald Mengi wachaga lakin wameonyesha upendo mkubwa sana wa kutoa milion 100. Hizi sifa za wahaya kujifanyaga wana hela sana ni za kijinga na naanza kuamini takwimu zinazosema mkoa wa Kagera ni miongoni mwa mikoa maskini sana Tanzania
Bado ulikuwa hujaamini?
 
1473932208090.jpg
 
Hivi yule Rugemalila aliyekua anagawa pesa za escrow nae si Muhaya? ameshindwa kutoa vihela vya mboga kwa ndg zake wa Bukoba. Angalau hata akina Reginald Mengi wachaga lakin wameonyesha upendo mkubwa sana wa kutoa milion 100. Hizi sifa za wahaya kujifanyaga wana hela sana ni za kijinga na naanza kuamini takwimu zinazosema mkoa wa Kagera ni miongoni mwa mikoa maskini sana Tanzania

Mimi Mhaya, hao ndugu zangu ndivyo walivyo; grabbing na show up. Ndiyo Kagera ni masikini na masikini ni wengi. Kujipenda ni hulka ya hao ndugu zangu!!!
 
Jana nilipokuwa naangalia habari Al Jazeera, niliona kuna habari ambayo kamwe haitampendeza kabisa waziri Nnape Moses Nauye, habari hiyo ambayo ilianza na kusema SIKU TANO ZA TETEMEKO,WATU BADO WANALALA NJE", kwa taratibu Za nchi yetu na utaratibu wa mh Nape, hiyo ni habari ambayo kwa sifa zote imekidhi kabisa kuwa habari ya kichochezi. nadhani mpaka sasa hivi Aljazeera bado inaonekana nchini sababu wataalam wa TCRA wanafunga mitambo ya kuzuia mawimbi yasiingie nchini ila wanapata wakati mgumu sana kuyazuia kwa sababu za kiteknolojia
 
Jana nilipokuwa naangalia habari Al Jazeera, niliona kuna habari ambayo kamwe haitampendeza kabisa waziri Nnape Moses Nauye, habari hiyo ambayo ilianza na kusema SIKU TANO ZA MAFURIKO,WATU BADO WANALALA NJE", kwa taratibu Za nchi yetu na utaratibu wa mh Nape, hiyo ni habari ambayo kwa sifa zote imekidhi kabisa kuwa habari ya kichochezi. nadhani mpaka sasa hivi Aljazeera bado inaonekana nchini sababu wataalam wa TCRA wanafunga mitambo ya kuzuia mawimbi yasiingie nchini ila wanapata wakati mgumu sana kuyazuia kwa sababu za kiteknolojia

aLJAZEERA ndio kitu gani? LABDA WALIKUWA wanawaonyesha waarabu.Waarabu huwa hawaangalii TV za kiingereza huangalia za kiarabu na wazungu tv wanazoangalia ni BBC,CNN hawatizami Alijazeera!! Hata watanzania wengi wala hawatizami aljazeera.Wewe mleta mada ni mwarabu hadi uwashobokee aljazeera?
 
aLJAZEERA ndio kitu gani? LABDA WALIKUWA wanawaonyesha waarabu.Waarabu huwa hawaangalii TV za kiingereza huangalia za kiarabu na wazungu tv wanazoangalia ni BBC,CNN hawatizami Alijazeera!! Hata watanzania wengi wala hawatizami aljazeera.Wewe mleta mada ni mwarabu hadi uwashobokee aljazeera?
Chief unajua maana ya kushoboka
 
Nadhani mleta mada alidhamiria siku 5 za tetemeko watu watu wanalala nje! . Thanks God maandishi wa Aljezeera kufuatilia tuu tetemeko, hadi leo kuna wahanga wa mabomu ya Mbagala bado wanalala nje! .

Kuna wahanga wa mafuriko Morogoro bado wanalala nje! . Wakazi kibao wa mabondeni bado wanalala nje!.

Nape wala TCRA hawana uwezo wa kuzifungia International FTA TV Stations.

Pasco
 
Nape wala TCRA hawana uwezo wa kuzifungia International FTA TV Stations.

Kufungia signal ya tv au radio channel yoyote isitue nchini kwako ni kitu kidogo mno Tanzania inaweza.Rwanda tu ilishawahi ifungia BBC isionekane Rwanda.Unalenga tu pale inapotokea signal ya chombo cha habari halafu unapapiga nyundo biashara inaishia hapo.Ni kitu kidogo mno hicho iwe free to Air au ya kulipia
 
Nilicheka nilivyosikia AYUBU kawa boss hapo. Jamani kuna jambo limenishtua jana baada ya kusikia matangazo ya DW kuwa wahanga wanasaidiwa misaada ya MAJAMVI (mikeka) ya kulalia magodoro yaliyojazana nchini tunarudi enzi ya virago duhhh kamati ya maafa kwishney hivi viwanda vya magodoro vyenyewe havikuguswa na tukio hilo mpaka tunarudi kwenye ujima kiasi hicho mungu tuepushe Afrika na matukio dizaini hii
 
TUMEKUWA tukiandika kuhusu ni jinsi gani TBC na ubunifu wa kurusha matangazo ya kwa muda muafaka lanini hawbadiliki. Wajifunze kwa CNN jinsi walivyo sharp kurusha live matukio ya ghafla pindi yanapotokea(Breaking News)
Breaking News zipo ITV hiyo TV nyingine hata ikitoa breaking news hakuna atakayesikia maana haina mtazamaji labda kama king'amuzi hakina pesa
 
Ilipita siku 2 bila kusikia serikali imetoa msaada Bukoba

Baada ya siku 2, serikali ikatembeza bakuli

Je Serikali haina pesa?

Je walipa kodi wakipatwa na maafa serikali haina msaada?

Wapiga kura wa CCM, je hawathaminiwi?

TRA kila siku wanatangaza kuvuka malengo?

Watanzania wanapenda maendeleo ya VITU au maendeleo ya watu?

Kuna watumwa wa CHAMA watakuja kutetea ununuzi wa ndege, ujenzi wa barabara na majengo...wakati dawa hospitalini hakuna, maabara hazina vifaa

Ujinga tuu huu

Serikali mpaka sasa imetoa billioni ngapi kuchangia maafa?

Hicho kitengo cha maafa ofisi ya waziri mkuu, imetengewa budget za emergency?
 
Back
Top Bottom