Wanasiasa ni wale waifanyao,waifuatiliao na wanaonufaika nayo siasa. Hawaishiwi maneno au matendo. Wanamaliza maneno au matukio haya,wanakwenda kwenye yake.
Lilipopatwa jua,hasa kule Rujewa Mbeya,ikasemwa na wanasiasa kuwa hiyo ni ishara ya kukubalika kwa Rais Dr. J.P.M. Jambo hilo likajadiliwa na kushangiliwa ikizingatiwa kuwa kulipatikana kipato pia. Wanasiasa wakaamini na kuaminisha kuwa ni dalili njema!
Limetokea tetemeko la ardhi na kusababisha vifo,majeruhi na uharibifu wa miundombinu. Taifa lipo pamoja kushughulikia hilo.Watu wote kimya. Hakukutokea wa kusema lolote. Ni kuogopa kuwa wachochezi au? Siasa ina vijimambo sana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mubelwa Bandio ambaye ni mtangazaj katika ktuo cha redio huko Washington DC amesema
"Nyie TBC. Mnataka tuuu tuseme.
Nyie si ndio kituo cha TAIFA?
Nyie si ndio mnaoendeshwa kwa kodi ya wananchi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuhabarisha kinachotokea kule ambako radio za kibiashara haziendi?
Si ni nyinyi mnaostahili kuwa WAZALENDO zaidi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuweka maslahi ya nchi mbele?
Nyie si ndio mnaotakiwa kufanya coverage ya MATUKIO YA KITAIFA?
Iweje mnapuuza TUKIO hili la tetemeko?
Watu 16 wanaingizwa uwanja wa Kaitaba sasa, mamia wameumia na dazeni za nyumba hazifai kwa makazi, mnaendelea na vipindi vya MUZIKI. Seriously????
Mmewapuuza wahanga wa tetemeko hili kubwa.
Na mnaendelea kusema mnahimiza UZALENDO?"
Hahaha nonesenseni aibu sana kwa mwanamke kuwa na maneno machafu namna hii shame on you
KITUO CHA REDIO 'UCHWARA'TBC teh teh teh tunaotumia FTA inapatikana kwa tochi na ni dhaifu sana.
Hata madiwani wa bukoba wakiachia posho zao za mwezi tu utakuwa ni mchango wa kutosha sana
Hawana Pesa Kwa sasa Pesa zote zilimalizikia kwenye UKUTATulianza na madawati wakaomba sikuona mchango wa serikali
Jambo la dharula la tetemeko nalo wanaanza kwa kuomba omba..
nchi ya viwanda hii hawaombi bali wanailazimisha mifuko ya jamii kujenga viwanda...wapate faida au hasara its up to them.
Serikali msikimbie majukumu...haya ndio majukumu ya baba mwenye nyumba.
"wanatumia nguvu mahala pa kutumia akili,wanatumia maneno mahala pa kufanya vitendo"..kwanini wasifeli?Hawana Pesa Kwa sasa Pesa zote zilimalizikia kwenye UKUTA
Nadhani hii yote ni kwa sababu Bukoba mjini wallikataa Ccm. Hakuna kitu kingine hapo. Hakuna mantiki ya kutafanywa janga la Kitaifa.Mubelwa Bandio ambaye ni mtangazaj katika ktuo cha redio huko Washington DC amesema
"Nyie TBC. Mnataka tuuu tuseme.
Nyie si ndio kituo cha TAIFA?
Nyie si ndio mnaoendeshwa kwa kodi ya wananchi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuhabarisha kinachotokea kule ambako radio za kibiashara haziendi?
Si ni nyinyi mnaostahili kuwa WAZALENDO zaidi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuweka maslahi ya nchi mbele?
Nyie si ndio mnaotakiwa kufanya coverage ya MATUKIO YA KITAIFA?
Iweje mnapuuza TUKIO hili la tetemeko?
Watu 16 wanaingizwa uwanja wa Kaitaba sasa, mamia wameumia na dazeni za nyumba hazifai kwa makazi, mnaendelea na vipindi vya MUZIKI. Seriously????
Mmewapuuza wahanga wa tetemeko hili kubwa.
Na mnaendelea kusema mnahimiza UZALENDO?"
Tanzania ni nchi maskini sana. Kwa nini ulinganishe nà CNN? Hivi tutajitambua lini kwamba sisi ni maskini? Tuache utani, nchi ni maskini sana linapokuja suala la Tecnolojia. Kama tunashindwa kupack nyanya, kabechi, nyama, na vyakula mbalimbali vya kwaida, tunaweza kweli kuwa na vifaa vya kufanya kazi kama CNN? BBC? ALJAZEERA? FRANCE 24? SKY NEWS? Noooo... Big Noooo;;;;;;!!!!!TUMEKUWA tukiandika kuhusu ni jinsi gani TBC na ubunifu wa kurusha matangazo ya kwa muda muafaka lanini hawbadiliki. Wajifunze kwa CNN jinsi walivyo sharp kurusha live matukio ya ghafla pindi yanapotokea(Breaking News)
Hawana hata huo uwezo wa kujifunza toka kwa yeyote isipokuwa mamlaka za uteuzi wa viongozi wakuu. Ukiuliza utaambiwa hawana pesa za kurusha ysnayojili eneo la tukio la dharura.TUMEKUWA tukiandika kuhusu ni jinsi gani TBC na ubunifu wa kurusha matangazo ya kwa muda muafaka lanini hawbadiliki. Wajifunze kwa CNN jinsi walivyo sharp kurusha live matukio ya ghafla pindi yanapotokea(Breaking News)