Tena kwa tochi basi.Maisha bhana yaani leo hii wahaya wanaomba msaada duuh..!!
Duhh,asiee watu hawajaelewa Post,duhhh wanaendelea tu Kugambira wenzao
Acha uvivu mkuu,lazima tufike mahali tufahamu kuwa japo kiswahili ni lugha yetu lakini kuna tofauti kubwa sana za kimatamshi toka kanda moja hadi nyingine,matatizo ya matamshi yaliyojitokeza katika hoja ya mkuu Rweye ni matatizo ya kikanda na hayawezi kubadilika kwa kumsahihisha hapa jukwaani.
Kama tunavyotofautiana "rafudhi", ni lazima pia tukubali kutofautiana katika maandishi,mtu huandika neno jinsi anavyolitamka.Matamshi ya mmakonde wa Mtwara hayawezi kufanana na ya mzaramo wa kisiju pwani wala msukuma wa Mwanza.
eti tv ya taifa ni itv! kisa imeajiri wachaga wengi kila idara na kukava habari nyingi zinazowahusu nyie?Ninavyofahamu mimi TV ya taifa ni ITV...
Nchi imejaa wazalendo uchwara.Mubelwa Bandio ambaye ni mtangazaj katika ktuo cha redio huko Washington DC amesema
"Nyie TBC. Mnataka tuuu tuseme.
Nyie si ndio kituo cha TAIFA?
Nyie si ndio mnaoendeshwa kwa kodi ya wananchi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuhabarisha kinachotokea kule ambako radio za kibiashara haziendi?
Si ni nyinyi mnaostahili kuwa WAZALENDO zaidi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuweka maslahi ya nchi mbele?
Nyie si ndio mnaotakiwa kufanya coverage ya MATUKIO YA KITAIFA?
Iweje mnapuuza TUKIO hili la tetemeko?
Watu 16 wanaingizwa uwanja wa Kaitaba sasa, mamia wameumia na dazeni za nyumba hazifai kwa makazi, mnaendelea na vipindi vya MUZIKI. Seriously????
Mmewapuuza wahanga wa tetemeko hili kubwa.
Na mnaendelea kusema mnahimiza UZALENDO?"
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu maskini sana duniani.Hii ndiyo Tanzania tunayoambiwa tuwe wazalendo, ingekuwa ulaya kwa tukio hili kungekuwa na coverage ya hali ya juu kila baada ya dakika 5.
TBC ni TV ya ccm,wapo tayari kurusha live mikutano ya ccm lakini sii kuonyesha majanga ya ummaMubelwa Bandio ambaye ni mtangazaj katika ktuo cha redio huko Washington DC amesema
"Nyie TBC. Mnataka tuuu tuseme.
Nyie si ndio kituo cha TAIFA?
Nyie si ndio mnaoendeshwa kwa kodi ya wananchi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuhabarisha kinachotokea kule ambako radio za kibiashara haziendi?
Si ni nyinyi mnaostahili kuwa WAZALENDO zaidi?
Nyie si ndio mnaotakiwa kuweka maslahi ya nchi mbele?
Nyie si ndio mnaotakiwa kufanya coverage ya MATUKIO YA KITAIFA?
Iweje mnapuuza TUKIO hili la tetemeko?
Watu 16 wanaingizwa uwanja wa Kaitaba sasa, mamia wameumia na dazeni za nyumba hazifai kwa makazi, mnaendelea na vipindi vya MUZIKI. Seriously????
Mmewapuuza wahanga wa tetemeko hili kubwa.
Na mnaendelea kusema mnahimiza UZALENDO?"
Tatizo ni kuwa sekta ya utangazaji imevamiwa na siasa uchwara.TUMEKUWA tukiandika kuhusu ni jinsi gani TBC na ubunifu wa kurusha matangazo ya kwa muda muafaka lanini hawbadiliki. Wajifunze kwa CNN jinsi walivyo sharp kurusha live matukio ya ghafla pindi yanapotokea(Breaking News)
Chukua hatua kupinga na kukemea mambo haya.Hii sitaisahau katika maisha yangu mpaka naingia kaburini, kusema kweli Tz ni nchi ya hovyo kuwahi kuishi.
Hawa mbona sijaona hata siku moja wakionesha yaliyotokea huko Kagera ama hilo siyo la kitaifa? waache wehu wao nao na ubaguzi wa habari. Wasitake tuwaumbue kwa mengi zaidieti tv ya taifa ni itv! kisa imeajiri wachaga wengi kila idara na kukava habari nyingi zinazowahusu nyie?
Bora ungesema channel ten mara 100. maana sijawahi kuona upendeleo wa habari zao. kama ni nyeupe inaitwa nyeupe hivyo hivyo. na yapili Azam TV. si hao ndugu zako.
Irrelevant and immaterial... Umeshafuatilia tafiti za media house hapa nchini? Kaangalie ni TV station ipi inaongoza kwa viewers wengi... Habari ya kuajiri wachaga au wamakonde inaingiaje kwenye huu uzi?eti tv ya taifa ni itv! kisa imeajiri wachaga wengi kila idara na kukava habari nyingi zinazowahusu nyie?
Bora ungesema channel ten mara 100. maana sijawahi kuona upendeleo wa habari zao. kama ni nyeupe inaitwa nyeupe hivyo hivyo. na yapili Azam TV. si hao ndugu zako.
Kwahiyo taifa kama taifa halijui wala halina Kitengo cha maafa?!mawaziri wakisamehe mishahara ya mwezi mmoja tuu itatosha kupata hizo pesa