Habari zenu wadau,
Hivi hawa mapersonal/hr officer/manager wanazijua? Kwanini unyanyasaji makazini bado unaendelea, kwa mfano unamkuta manager (branch manager) anaongoza wafanyakazi 3-10, anawaongoza just he/she has experience na kazi lkn hajui sheria za kazi wala mambo ya utawala.
Naomba kwa wale wanaoongozwa na brach manager watupe changamoto wanazokabiliana nazo ili tujue tunafanyaje kukomesha tabia hii.
Hivi hawa mapersonal/hr officer/manager wanazijua? Kwanini unyanyasaji makazini bado unaendelea, kwa mfano unamkuta manager (branch manager) anaongoza wafanyakazi 3-10, anawaongoza just he/she has experience na kazi lkn hajui sheria za kazi wala mambo ya utawala.
Naomba kwa wale wanaoongozwa na brach manager watupe changamoto wanazokabiliana nazo ili tujue tunafanyaje kukomesha tabia hii.