Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,462
- 18,096
Nimekupa jibu haulikubali nikujibu Nini Kama umechagua jibu sahihi kwako ni kile unachofikiria.Jibu suali kwanini biashara za waislamu na watu wa makabila mengine zinakufa.
Haiwezekani kuwa waislamu pekee ndio hawajui hiyo elimu ya masoko unayosema.