Tanzania kuna vita ya kiuchumi isiyo rasmi kati ya dini na makabila

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,317
11,175
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.

Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.

TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.

Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.

Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.

Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.

Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
 
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.

Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.

TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.

Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.

Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.

Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.

Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
Huu mwezi mada za tarawei zinatoka kwa Wingi Sana. Ndio Hawa wahubiri wanaohubiri mautopolo huitana maprofesa
 
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.

Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.

TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.

Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.

Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.

Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.

Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
unashida kichwani ww
 
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.

Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.

TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.

Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.

Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.

Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.

Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
Mimi ninachoamini jamii ikikuhitaji kutoboa lazima haijalishi dini kabila au tamaduni. Just be the best in what you are doing and every thing will come later.
 
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.

Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.

TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.

Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.

Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.

Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.

Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
Mimi binafsi hiyo vita naona ilijikita sanaa kwenye elimu na ajira, kuna baadhi ya wayanzania walikua wanatengwa kinamna wasipate elimu bora au ajira za serikali furani lakini hiyo hali naona imeanza kutatuliwa mdogo mdogo pongezo ziende kwa serikali ya awamu ya sita.
Kataa ubaguzi wa aina ýoyote.
 
Mimi ninachoamini jamii ikikuhitaji kutoboa lazima haijalishi dini kabila au tamaduni. Just be the best in what you are doing and every thing will come later.
Huwezi kuwa best iwapo kuna watu wanakuwinda kwa kisingizio cha sheria.
 
Mimi binafsi hiyo vita naona ilijikita sanaa kwenye elimu na ajira, kuna baadhi ya wayanzania walikua wanatengwa kinamna wasipate elimu bora au ajira za serikali furani lakini hiyo hali naona imeanza kutatuliwa mdogo mdogo pongezo ziende kwa serikali ya awamu ya sita.
Kataa ubaguzi wa aina ýoyote.
Kila awamu imetekeleza kivyake.
 
Back
Top Bottom