Ukiumbuke mwanzo mke alitoka nje ndipo akaomba uhuru zaidi, ataingia chumba cha kukutania stakapo jisikia yeye!. Huke kwake akiendelea kupokea wageni!. Utaweza kuvumilia?!.
Pasco
Kuna watu wanapenda kufa, kuoza. Hujaona mtu kapenda hadi kila kitu kakabidhi kwa mke?.Ndio....kumbe Tanganyika iliolewa?
mwanamke akiolewa hubadili jina na kua mrs. lakini mwanaume habadili jina akioa.
Na mpaka hapo leo ndo nimejua kumbe
Mme ni ZANZIBAR na mke ni TANGANYIKA ndo maana jina la mke likafa na mme likabaki
Paschal siku hizi hana hojaJF mods acheni kuruhisu thread za kitoto toto....hii ni nini?
Wanabodi,Wanabodi,
Mungu Ibariki Tanzania!.
Muungano Milele na utalindwa kwa gharama yoyote!.
Paskali
pasco nakuita hivi maana ndio jina nimelizoea tokea miaka ile..Wanabodi,
Leo sikukuu ya Muungano, nafanya mapitio ya baadhi ya mabandiko ya muungano.
Japo waasisi wa muungano wetu huu adhimu ni Nyerere na Karume, muungano ni kama ndoa, kuna mtu ana proposes, mwingine anakubali, ndoa inafungwa. Kwenye muungano wetu huu adhimu, aliye proposes ni Nyerere, Karume akakubali. Nia ya Nyerere ni kwenda kwenye serikali moja. Wito kwa viongozi wetu, kama nia ya kweli ni kudumisha muungano, twende kwenye serikali moja. Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuyaishi maono yake!. Nawatakia Muungano Mwema.
Paskali
Mkuu Fast Forward , ni kweli kwenye huu muungano wetu adhimu wa nchi moja, kuna vitu vingine ni vya ajabu sana!. Mfano lile sakata la sukari ya kiwanda cha Maruhubi Zanzibar, kukataliwa kuingia Bara!, huku Tanzania bara tuna uhaba wa sukari, tunaagiza nje ya nchi!.Toa kitu visiwani kilete bara utaambiwa lipia kodi kama vile umekitoa nchi nyingine sasa hii haileti maana kabisa ya muungano yapo mengi sana ambayo yanashangaza na aina hii ya muungano wa sasa.
Halafu hali ya kiajira upande wa visiwani hasa serikali ya kimapinduzi, taasisi zingine mfano jeshi la polisi au TPDF au TRA ndio utaona watu kutoka bara ila nafasi za wawakilishi hautakaa uone mtu kutoka bara japo huku bara mtu wa visiwani anaweza kuwa mbunge kwa huku.Mkuu Fast Forward , ni kweli kwenye huu muungano wetu adhimu wa nchi moja, kuna vitu vingine ni vya ajabu sana!. Mfano lile sakata la sukari ya kiwanda cha Maruhubi Zanzibar, kukataliwa kuingia Bara!, huku Tanzania bara tuna uhaba wa sukari, tunaagiza nje ya nchi!.
P
Halafu hali ya kiajira upande wa visiwani hasa serikali ya kimapinduzi, taasisi zingine mfano jeshi la polisi au TPDF au TRA ndio utaona watu kutoka bara ila nafasi za wawakilishi hautakaa uone mtu kutoka bara japo huku bara mtu wa visiwani anaweza kuwa mbunge kwa huku.
Suala la sukari ni kituko sana yaani sijui ilikuwaje hawa jamaa wakafanya lile jambo namna ile.
Tunashida sana ya maono na uamuzi kwa viongozi wetu.