Makanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.
Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo
Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.
Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.
Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa
Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo
Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.
Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.
Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa