kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,331
- 12,647
Mkataba halali kati ya Dube na Azam FC ni ule unaoishia msimu wa mwaka 2024 ambao umeidhinishwa na TFF (sheikh) kuwa ni mkataba (ndoa) halali.
Maana hata kama Binti mmekubaliana wenyewe kuoana, makubaliano hayo hayatatambulika kama mke na mume mpaka ndoa ifungwe kwa idhoni ya wazazi na mfungishaji ndoa (sheikh, Mchungaji, serikali) hiyo.
Kwenye mpira mamlaka ya ufungishaji ndoa kati ya mchezaji na club ni TFF kuidhimisha makubaliano ya mchezaji na timu kuwa ndoa halali.
Je, mikataba wa Dube na Azam FC unaoishia 2026 umeidhinishwa na TFF kuwa mkataba halali? Uko TFF?
Kama haukuidhinishwa na TFF ni fake na TFF hatakiwi kuwa shahidi Wala hakimu wa kesi hiyo.
Maana hata kama Binti mmekubaliana wenyewe kuoana, makubaliano hayo hayatatambulika kama mke na mume mpaka ndoa ifungwe kwa idhoni ya wazazi na mfungishaji ndoa (sheikh, Mchungaji, serikali) hiyo.
Kwenye mpira mamlaka ya ufungishaji ndoa kati ya mchezaji na club ni TFF kuidhimisha makubaliano ya mchezaji na timu kuwa ndoa halali.
Je, mikataba wa Dube na Azam FC unaoishia 2026 umeidhinishwa na TFF kuwa mkataba halali? Uko TFF?
Kama haukuidhinishwa na TFF ni fake na TFF hatakiwi kuwa shahidi Wala hakimu wa kesi hiyo.