The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,170
- 8,409
Siku za hivi karibuni recently...Mwanamama Socialite wa Kenya Tanasha Dona ambaye ni mwanamziki wa miondoko ya rapper, ambaye alikuwa na mahusiano na msaani maarufu nchini Diamond platnumz vile vile walibahatika kupata mtoto.......
Bi dada huyo ametrend kwenye social media za east africa akiwa katika mwonekano huu unaosemekana eti kaongeza Lips kwa kufanya surgery.
Wale visokorokwinyo eti kwani nini wanaume wanagossip piteni mbali maana kama uko hapa na wewe ni mwanaume mmbeya kama mimi.......changes are innevitable kwa hii dunia huwezi ishi kutegemea ushamba wako utakuwa kila siku.
Wewe kwa upande wako unaona kapendeza au kazingua hapa.