Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,697
- 12,437
Aliewahi kuwa Mke wa Kaka wa msanii Diamond Platnumz mwanadada Malaika, ameongeza ukubwa wa Lips zake.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Malaika amepost video inayomuonyesha akiwa na Lips nene jambo linalodhihirisha kuwa ametoka kufanyiwa Surgery ya Lips.
ANGALIA HAPA MUONEKANO WAKE MPYA
Malaika aliwahi kuolewa na mtangazaji wa Wasafi Fm Ricardo Momo na baadae wakaachana.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Malaika amepost video inayomuonyesha akiwa na Lips nene jambo linalodhihirisha kuwa ametoka kufanyiwa Surgery ya Lips.
ANGALIA HAPA MUONEKANO WAKE MPYA
Malaika aliwahi kuolewa na mtangazaji wa Wasafi Fm Ricardo Momo na baadae wakaachana.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️