cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,996
- 139,744
C ndiwooo!! Uongeze na cku za kupumua.Mi nachekaga tu
C ndiwooo!! Uongeze na cku za kupumua.Mi nachekaga tu
Ungekua mpare labda, wachaga enyewe siku mmekua vidampa mie nirudi upya class kujifunza,Nataka nikupumulie kiso
Eeeh sisi sote wa kiume, ndo maana nkakuuliza unataka tukoboaneee?Mi wa kiume aiseee wewe si wakiume pia astgfuraiiiiiii
habari ndo hiyoo!!Unazingua dogo
mkuu habari za siku mingiHii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
Njema kabisa habari yako?mkuu habari za siku mingi
Aisee 🤔Hii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
Bora arudi alivyoku maana mdomo kama kitako cha kuku..Hii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
🤣🤣🤣Labda uvimbe ukiisha atakaa sawaBora arudi alivyoku maana mdomo kama kitako cha kuku..
KiiiiiinnngggggAngebaki vile vile aisee ,ka zombie ila hajui.