daniel agrey
Member
- Jul 23, 2017
- 97
- 345
Tumekuelewa mkuu
magnus
magnus
KWA hyo muda gan ndo sahh
xSure
Sure
Tumekuelewa mkuu
magnus
Kama mm yaani nilivyo serious basi tu wanawake hamjui,ila kinachonisikitishaga ni kuwaona wanawake wanavyopenda kudanganywa aisee yaani mwanamke ukimwambia kuwa mm sina mke wala mchumba anaguna mpaka barabara ya 6 wanasikia na inawezekana ikawa ndo anateleza maxima ila ukimwambia aaah nilikuwa na demu ila ss simuhitaji kwa kuwa nataka kuoa mh anaweza kukuganda na kukupa vyote hata km hauko serious utakapomuacha basi ndo hivyo anaanza kuwalaani wanaume wote.Kweli Kabisa Wengine Wako serious Lakini Wanavunjwa nguvu na Wengine
Namm nipo serious!!!!Kama mm yaani nilivyo serious basi tu wanawake hamjui,ila kinachonisikitishaga ni kuwaona wanawake wanavyopenda kudanganywa aisee yaani mwanamke ukimwambia kuwa mm sina mke wala mchumba anaguna mpaka barabara ya 6 wanasikia na inawezekana ikawa ndo anateleza maxima ila ukimwambia aaah nilikuwa na demu ila ss simuhitaji kwa kuwa nataka kuoa mh anaweza kukuganda na kukupa vyote hata km hauko serious utakapomuacha basi ndo hivyo anaanza kuwalaani wanaume wote.
Ushauri wangu kwenu dada zangu mlio single,badilikeni muda na umri wa baadhi yenu sio marafiki kabisa,kiukweli ndoa ni jambo lenye baraka nyingi sana,usijidanganye kuwa muda bado upo ntaolewa tu,kumbuka siku zetu kuwepo hapa duniani hazijulikani hesabu yake ss kwa nn tunaendelea kujidhulumu kwa kuishi single ilhali kunamatangazo lundo humu ya kuwahitaaji tuungane kuanzisha familia??kwani Mungu aliwapa akili na maarifa kwa ajili gani?ili muweze kuchanganua jema na baya,mkweli na muongo,akufaaye NA asiyekufaa n.k so wekeni zile ndoto zenu ambazo huwa mnasimuliana mnapokutana pembeni then fanyeni tathmini ya wanaojitokeza ukiona unaridhika basi hatua zinazotakiwa kufuatwa zifuatwe na ukiona hakufai basi mnaagana kwa wema tu mbona sio ugomvi!.Binafsi nipo ktk uhitaji wa dhati kabisa kumpata mwenzangu ambaye ninaamini tutakayeriidhiana kila siku atakuwa anakuja kutoa ushuhuda hapa kwa treatment yangu kwake.Anybody interested just pass through my posts you'll find my specifications for a woman im looking to have.Unless otherwise nakukaribisheni PM na kamwe hakutakuwa na jibu lolote lenye kukwaza.
Kwa vigezo vyote vile ulivyoorodhesha mkuu endelea tu kusugua gotiKama mm yaani nilivyo serious basi tu wanawake hamjui,ila kinachonisikitishaga ni kuwaona wanawake wanavyopenda kudanganywa aisee yaani mwanamke ukimwambia kuwa mm sina mke wala mchumba anaguna mpaka barabara ya 6 wanasikia na inawezekana ikawa ndo anateleza maxima ila ukimwambia aaah nilikuwa na demu ila ss simuhitaji kwa kuwa nataka kuoa mh anaweza kukuganda na kukupa vyote hata km hauko serious utakapomuacha basi ndo hivyo anaanza kuwalaani wanaume wote.
Ushauri wangu kwenu dada zangu mlio single,badilikeni muda na umri wa baadhi yenu sio marafiki kabisa,kiukweli ndoa ni jambo lenye baraka nyingi sana,usijidanganye kuwa muda bado upo ntaolewa tu,kumbuka siku zetu kuwepo hapa duniani hazijulikani hesabu yake ss kwa nn tunaendelea kujidhulumu kwa kuishi single ilhali kunamatangazo lundo humu ya kuwahitaaji tuungane kuanzisha familia??kwani Mungu aliwapa akili na maarifa kwa ajili gani?ili muweze kuchanganua jema na baya,mkweli na muongo,akufaaye NA asiyekufaa n.k so wekeni zile ndoto zenu ambazo huwa mnasimuliana mnapokutana pembeni then fanyeni tathmini ya wanaojitokeza ukiona unaridhika basi hatua zinazotakiwa kufuatwa zifuatwe na ukiona hakufai basi mnaagana kwa wema tu mbona sio ugomvi!.Binafsi nipo ktk uhitaji wa dhati kabisa kumpata mwenzangu ambaye ninaamini tutakayeriidhiana kila siku atakuwa anakuja kutoa ushuhuda hapa kwa treatment yangu kwake.Anybody interested just pass through my posts you'll find my specifications for a woman im looking to have.Unless otherwise nakukaribisheni PM na kamwe hakutakuwa na jibu lolote lenye kukwaza.