Swali: Je kuna watu kwenye mapenzi wana kipaji au uchawi kujua kila unachofanya wao wakiwa mbali na wewe?

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,535
11,398
Wasalaam,

Jamani hii dunia Mungu aliumba watu, nilikuwa na demu wangu huyu demu alikuwa anajua kila kitu ninachotaka kufanya hasa kama nina mpango na demu mwingine, aidhq atajua huyo demu ana madhara au hana mfano kama demu ana majini au mashetani au mchawi sana huyo demu wangu alikuwa anq nipigiq simu anakataza kabisa.

Alikuwa akipiga simu anasema kabisa huyo mtu una ahadi nae achana nae usikutane nae, acha kabisa na mimi nikiacha kweli anapiga simu anasema hapo sawa endelea na misele yako ondoa hofu uwe free.

Pia nikipiga shoo yoyote ile ambayo hainq madhara alikuwa anajua nikimkuta ghetto anakosa amani kabisa ananuna sana sana, na atanikagua tu na kukuta kasoro.

Siku zilivyosonga akaanza kujishuku uchawi akaacha kunichunguza nikimkuta ghetto akabaki ananuna siku nikinyandua shoo mpya.

Jamani Duniani kuna watu usiombe ukutane na demu wa hivyo.

Karibuni kwa ushuhuda na visa vingine.

Shukrani
🙏🙏🙏

Wadiz
 
Demu wako alikuwa mwanga uyo alikuwa anakuchunguza mipango yako yote ususani ya kwenda kunyandua
Haki ya nani kuna mademu wachawi sana, I took it so lightly and didn't care much though it so scary for sure, luckily she wasn't that pisi i managed to chuck her nilimpetea bifu kuwq ana ishu za kichawi nimemuota usiku nimeona kila anachofanya akapotea mazima.
 
Wasalaam,

Jamani hii dunia Mungu aliumba watu, nilikuwa na demu wangu huyu demu alikuwa anajua kila kitu ninachotaka kufanya hasa kama nina mpango na demu mwingine, aidhq atajua huyo demu ana madhara au hana mfano kama demu ana majini au mashetani au mchawi sana huyo demu wangu alikuwa anq nipigiq simu anakataza kabisa.

Alikuwa akipiga simu anasema kabisa huyo mtu una ahadi nae achana nae usikutane nae, acha kabisa na mimi nikiacha kweli anapiga simu anasema hapo sawa endelea na misele yako ondoa hofu uwe free.

Pia nikipiga shoo yoyote ile ambayo hainq madhara alikuwa anajua nikimkuta ghetto anakosa amani kabisa ananuna sana sana, na atanikagua tu na kukuta kasoro.

Siku zilivyosonga akaanza kujishuku uchawi akaacha kunichunguza nikimkuta ghetto akabaki ananuna siku nikinyandua shoo mpya.

Jamani Duniani kuna watu usiombe ukutane na demu wa hivyo.

Karibuni kwa ushuhuda na visa vingine.

Shukrani


Wadiz
Kwa nini mliachana?
 
Wasalaam,

Jamani hii dunia Mungu aliumba watu, nilikuwa na demu wangu huyu demu alikuwa anajua kila kitu ninachotaka kufanya hasa kama nina mpango na demu mwingine, aidhq atajua huyo demu ana madhara au hana mfano kama demu ana majini au mashetani au mchawi sana huyo demu wangu alikuwa anq nipigiq simu anakataza kabisa.

Alikuwa akipiga simu anasema kabisa huyo mtu una ahadi nae achana nae usikutane nae, acha kabisa na mimi nikiacha kweli anapiga simu anasema hapo sawa endelea na misele yako ondoa hofu uwe free.

Pia nikipiga shoo yoyote ile ambayo hainq madhara alikuwa anajua nikimkuta ghetto anakosa amani kabisa ananuna sana sana, na atanikagua tu na kukuta kasoro.

Siku zilivyosonga akaanza kujishuku uchawi akaacha kunichunguza nikimkuta ghetto akabaki ananuna siku nikinyandua shoo mpya.

Jamani Duniani kuna watu usiombe ukutane na demu wa hivyo.

Karibuni kwa ushuhuda na visa vingine.

Shukrani
🙏🙏🙏

Wadiz
Mchawi huyo
 
Inawezekana na waifu mchawi, michongo yangu kibao anaitibuaga hadi nashangaa😁
 
Wasalaam,

Jamani hii dunia Mungu aliumba watu, nilikuwa na demu wangu huyu demu alikuwa anajua kila kitu ninachotaka kufanya hasa kama nina mpango na demu mwingine, aidhq atajua huyo demu ana madhara au hana mfano kama demu ana majini au mashetani au mchawi sana huyo demu wangu alikuwa anq nipigiq simu anakataza kabisa.

Alikuwa akipiga simu anasema kabisa huyo mtu una ahadi nae achana nae usikutane nae, acha kabisa na mimi nikiacha kweli anapiga simu anasema hapo sawa endelea na misele yako ondoa hofu uwe free.

Pia nikipiga shoo yoyote ile ambayo hainq madhara alikuwa anajua nikimkuta ghetto anakosa amani kabisa ananuna sana sana, na atanikagua tu na kukuta kasoro.

Siku zilivyosonga akaanza kujishuku uchawi akaacha kunichunguza nikimkuta ghetto akabaki ananuna siku nikinyandua shoo mpya.

Jamani Duniani kuna watu usiombe ukutane na demu wa hivyo.

Karibuni kwa ushuhuda na visa vingine.

Shukrani


Wadiz
Mzee baba kuna lishangazi limoja nililipata dah aisee acha tu nilijipigia sana tu sasa ule mshangazi ulitaka niuoe mana yupo single tangu ujana wake sasa alipambana sana kunichomea dawa ili mambo yangu na mke wangu yavulugike lkn mungu si Athuman nikaona mambo yangu hayaendi kabsa kuja kucheki upande wa pili kumbe ule ni mshangazi unapaa ucku kabsa yan dah alitaka kunipiga tukio moja baya sana la kichawi nikamshtukia basi nikapiga chini mazima. Kiukweli midemu ya sasa ni michawi sana wakulungwa yani tuombe mungu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom