Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,292
- 5,011
Yenye wanzanzibari ndani yakeTanzania People defense force (TPDF)
Yenye wanzanzibari ndani yakeTanzania People defense force (TPDF)
Atokee mara ngapi?Kwani bado hajatokea?
Wabunge wengi wa Muungano wanatoka Tanganyika na Waziri Mkuu anatoka Tanganyika, wakimueeka MTU Kati ni aidha akubaliane nao au avunje Serikali/Bunge, lakini tatizo letu siku hizi ni siasa za uchawa.Kwa madaraka na mamlaka aliyonayo Raissidhani Kama kuna mtu wa kumchunguza akiwa anatapanya mali za Tanganyika na Waziri mkuu hawezi,rejea kauli ya Ndugai na matokeo yake