Hivi maslahi ya Tanganyika kwenye Muungano na Zanzibar yanatetewaga na nani?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,516
2,080
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Sisi bara ukiongea unaambiwa mbaguzi lakini akiongea mzanzibar inakuwa kero za muungano
 
The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?
Kiongozi, kwanza naona unataka kuchepusha mada, hii sio sawa.
Pili, hakuna rekodi rasmi zinazoonesha kwama serikali ya Tanganyika ilihusika kwenye mapinduzi ya 1964. Mapinduzi yale yaliratibiwa na kutekelezwa na wanachama wa ASP.
Tatu, maslahi ya Tanganyika kufanya muungano na Zanzibar yalikuwa ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia...na hapa maslahi yenyewe (ya kufikirika) yalikua juu ya usalama wa Tanganyika, kuendeleza dhana ya umajumui wa Afrika n.k
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Yanatetewa na watanzania,tanzania ndio tanganyika yenyewe.
 
The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?

The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?
Ni Kwa sababu za kiusalama nadhani hilo ndo tulilonufaika nalo mpaka leo. Tanganyika inaiogopa sana Zanzibar kiasi cha kuendelea kung'ang'ania muungano hapo hauinufaishi
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Mfano hai ni Tundu Lissu
 
Maslahi ya mwanaume tena mjeshi anapokosa haki zake kutoka kwa mkewe husemewa na nani? Tukitumia mfano wa ndoa, Zanzibar ni kama mke wa Tanganyika na kama unavyojua mke mara nyingi hupigania haki kuliko mume.
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Suluhisho pekee lililobaki kutokana na janga hili la Muungamo wa Tanganyika na Zanzibar ni moja tu: Aidha, kuunda Muungamo wa Serikali moja, Au, Kuuvunja Muungamo wenyewe uliopo hivi Sasa na Kila upande ubaki na hamsini zake.
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Soma Hoja za Koti la Muungano kwa maoni ya wazanzibar. Muungano huu umekuwa complex mno ingawaje kila mtu anaona manufaa yake kiudugu nadhani hoja hapa ni ule mfumo tu kubaini ni upi unao faa zaidi kwa vile kila upande una malalamiko yake.
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.
Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.

Kwa sasa maslahi ya Tanganyika yanatetewa na Mpina, Lissu na Dr Slaa. Yanahujumiwa na Nape, Machawa na hii CCM na SSH.
 
Maslahi ya mwanaume tena mjeshi anapokosa haki zake kutoka kwa mkewe husemewa na nani? Tukitumia mfano wa ndoa, Zanzibar ni kama mke wa Tanganyika na kama unavyojua mke mara nyingi hupigania haki kuliko mume.
Duuuh!!! Tsh..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Tanganyika haipo Mkuu! Tupo pseudo-nation! Zanzibar ipo na wana bendera yao ila Tanganyika imebakia ardhi tu!
 
The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?
Mada inahusu maslahi ya Tanganyika kwenye huu muungano inatetewa na nani? Au unakusudia kusema kwamba Tanganyika ilifadhili mapinduzi hivyo imetosheka haina inalotaka toka kwa wazanzibari kama ambavyo ambavyo wazanzibari wamekuwa wakilalamikia mambo mengi!?
Unamaanisha kwamba kwa yale mapinduzi watanganyika walipora kila kitu hivyo kwa sasa wanajijua kuwa wanatakiwa kulipa fadhila?
 
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.

Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.

Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Tundu Lissu kaisha toa majibu, CCM na serikali yake wamenyamaza, wanakimbilia tu kwenye chaka ka Ubaguzi. Ifike mahala sisi kama sisi watanganyika tujiamulie mambo yetu wenyewe kama wao.
Hawa wa zenj wana maneno sana, kila siku wao ni habari za kupunjwa tu. Mtoto gani kila siku yeye ni kupunjwa na wenzake? Wazazi nao huchoka
 
Back
Top Bottom