The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,516
- 2,080
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.
Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.
Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.
Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.
Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.