Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,596
- 82,479
Yule anaitwa Musa Kawambwa. Na hana uhusiano wowote ule na Dr. Shukuru Kawambwa. Ni majina tu bila shaka yanafanana.Hivi yule mtangazaji wa vipindi vya michezo pale Azam (U fm) nae si anaitwa Shukuru kawambwa?
Niliposoma title kabla ya kufungua Uzi,nikasema Kawambwa tangu lini amewahi kuwa Waziri?