Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
 
Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Huyo jamaa aliyekuwa anambugudhi Mhe. Dr. Kawambwa ni wa jinsia gani!!

Natanguliza samaani kwa kuuliza ili swali.
 
Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Hivi huyo jamaa alijiamini nini kumsukuma,kumpelekesha Dr kawambwa
Kawambwa hapo bagamoyo Ana title kubwa

Ova
 
View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Nilichoona ni kwamba Kawambwa kafunga njia kutumia magogo bila kuwa na kibali.
 
Back
Top Bottom