kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,513
- 16,706
Inasikitisha sanaa....vumbi litatimka......!Binamu wa JK kabisa.
Inasikitisha sanaa....vumbi litatimka......!Binamu wa JK kabisa.
Jamaa mwenye jazba anaikanya hapo.Ndo maana nchi haiendelei.eti alikuwa anasimamia wizara.leo anapigwa Pingu na raia
We bado mdogoHivi yule mtangazaji wa vipindi vya michezo pale Azam (U fm) nae si anaitwa Shukuru kawambwa?
Niliposoma title kabla ya kufungua Uzi,nikasema Kawambwa tangu lini amewahi kuwa Waziri?
Hili ni funzo kwa wengine.View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Hela za dhuluma huwa hazikaiJamani .inawezekana hela zote kamaliza?
Wee vipi wakati jina lako ni Miss Natafuta ? Fedha huwa zinakinaisha?Jamani .inawezekana hela zote kamaliza?
Waliokuwa wanagawa walikuwa matapeli yaliokubuhuBagamoyo kumejaa viwanja vya utapeli
Mkuu. Wangekuwa wanajenga nchi kiukweli sasa hivi ndiyo wangekuwa wanakula matunda ya pension yao.Hili ni funzo kwa wengine.
Wala hajarogwa huyu.
Na wengine wanazidi kufulia vilevile.
Hawakutenda haki katika nafasi zao..
Wanachapika na nguvu ya asili.
Kumbe je!Ukute na yeye alikuwa anawaambia vijana wakimaliza chuo wajiajiri 😂
KabisaMkuu. Wangekuwa wanajenga nchi kiukweli sasa hivi ndiyo wangekuwa wanakula matunda ya pension yao.
Ndiyo unajidanganya hivyo? Nenda Ualaya uone. Hakuna watu wanaoishi maisha mazuri kama wastaafu.Mtihani sana mi ndio maana nasema tafuta hela ukiwa kijana ishi maisha ya furaha ukiwa kijana
Hakuna furaha kwenye uzee kwamba una hela au huna hakuna furaha kwenye uzee
Mzee mwenye hela na asie na hela wote wanaumia
Wabongo kazini! Hajui kisa lakini anaeleza kama alikuwepo eneo hilo na anajua kisa kizima.Hili ni funzo kwa wengine.
Wala hajarogwa huyu.
Na wengine wanazidi kufulia vilevile.
Hawakutenda haki katika nafasi zao..
Wanachapika na nguvu ya asil