johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,058
- 143,833
Jeshi la Polisi limewakamata Watu Wawili waliomdhalilisha Waziri wa zamani wa Miundombinu Dr Shukuru Kawambwa
Aidha Jeshi la Polisi limemtaka mtu aliyerekodi tukio la udhalilishaji huo na kulirusha mitandaoni ajisalimishe mara Moja.
---
Polisi Mkoani Pwani imewakamata watu wawili waliomdhalilisha Waziri wa zamani wa Miundombinu na Mbunge wa Bagamoyo Shukuru Kawambwa na limemtaka aliyesambaza video ya kudhalilishwa kwa Waziri huyo kujisalimisha.
Kwa mujibu wa Polisi aliyekamatwa ni Hassan Wembe ambaye anaonekana kwenye clip hiyo akimpa vitisho Waziri huyo na Mbunge wa zamani wa Bagamoyo.
Source: Kitenge Tv
Pia Soma: Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja
Aidha Jeshi la Polisi limemtaka mtu aliyerekodi tukio la udhalilishaji huo na kulirusha mitandaoni ajisalimishe mara Moja.
---
Polisi Mkoani Pwani imewakamata watu wawili waliomdhalilisha Waziri wa zamani wa Miundombinu na Mbunge wa Bagamoyo Shukuru Kawambwa na limemtaka aliyesambaza video ya kudhalilishwa kwa Waziri huyo kujisalimisha.
Kwa mujibu wa Polisi aliyekamatwa ni Hassan Wembe ambaye anaonekana kwenye clip hiyo akimpa vitisho Waziri huyo na Mbunge wa zamani wa Bagamoyo.
Source: Kitenge Tv
Pia Soma: Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja