mnangagwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 978
- 1,424
Mke wangu alitoa ujauzito wa hawara yake baada ya jaribio la kunipachika ujauzito kushindikana,baada ya kumbana akawa na mpango wa kuniua,ikishindikana mm basi auwe watoto(ushahidi audio),nikapeleka malalamiko kwa ndg zake sikupewa ushirikiano,nikaenda kwa imam wa msikiti,baada ya mke kukiri alitoa ujauzito imam akamweleza ukweli kuwa umekosea kwa sheria za dini na kiserikali,baadae mke wangu akaanza kumtumia imam msg za matusi,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,