Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Mke wangu alitoa ujauzito wa hawara yake baada ya jaribio la kunipachika ujauzito kushindikana,baada ya kumbana akawa na mpango wa kuniua,ikishindikana mm basi auwe watoto(ushahidi audio),nikapeleka malalamiko kwa ndg zake sikupewa ushirikiano,nikaenda kwa imam wa msikiti,baada ya mke kukiri alitoa ujauzito imam akamweleza ukweli kuwa umekosea kwa sheria za dini na kiserikali,baadae mke wangu akaanza kumtumia imam msg za matusi,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,
 
Jaman inatokea naachana na mke nimejenga nyumba mbili tofaut sasa hii kugawana 50 kwa 50 imekaaje na huku mim nimejenga mkopo na bado nalipa
 
Mke wangu alitoa ujauzito wa hawara yake baada ya jaribio la kunipachika ujauzito kushindikana,baada ya kumbana akawa na mpango wa kuniua,ikishindikana mm basi auwe watoto(ushahidi audio),nikapeleka malalamiko kwa ndg zake sikupewa ushirikiano,nikaenda kwa imam wa msikiti,baada ya mke kukiri alitoa ujauzito imam akamweleza ukweli kuwa umekosea kwa sheria za dini na kiserikali,baadae mke wangu akaanza kumtumia imam msg za matusi,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,
Duh Mkuu hawa wanawake mm huwa kichwani wapo kwa 20% tu
Sio watu wa kuamini
 
Mke wangu alitoa ujauzito wa hawara yake baada ya jaribio la kunipachika ujauzito kushindikana,baada ya kumbana akawa na mpango wa kuniua,ikishindikana mm basi auwe watoto(ushahidi audio),nikapeleka malalamiko kwa ndg zake sikupewa ushirikiano,nikaenda kwa imam wa msikiti,baada ya mke kukiri alitoa ujauzito imam akamweleza ukweli kuwa umekosea kwa sheria za dini na kiserikali,baadae mke wangu akaanza kumtumia imam msg za matusi,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,
kumpa talaka na kuendelea na maisha yako shilingi ngapi?

au ndio unaogopa kugawana mali

ngoja na yeye akakane au akadai umehack na kuingilia mazungumzo yake

wakati mwingine mapenzi yakiisha kila mmoja achukue ustaarabu wake kuliko kupotezeana muda na kuumizana hisia na akili...mnajichoresha tu kwa watu
 
Mke wangu alitoa ujauzito wa hawara yake baada ya jaribio la kunipachika ujauzito kushindikana,baada ya kumbana akawa na mpango wa kuniua,ikishindikana mm basi auwe watoto(ushahidi audio),nikapeleka malalamiko kwa ndg zake sikupewa ushirikiano,nikaenda kwa imam wa msikiti,baada ya mke kukiri alitoa ujauzito imam akamweleza ukweli kuwa umekosea kwa sheria za dini na kiserikali,baadae mke wangu akaanza kumtumia imam msg za matusi,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,
Pole Sana,

Kuhusu kosa la kutoa Mimba Hilo report tu polisi,linatosha kumtia hatiani .ambapo pamoja na Hilo la kukutishia,matusi yataunganishwa.....(makosa ya jinai hayo)

NB.. kuhusiana kukosa ushirikiano toka kwa familia yake...inategemea maneno aliyowapandikiza kuhusu wewe! This is common!
 
Nahisi Una matatizo ya akili au labda Una tatizo la uzazi Kwa mwanaume aliyekamilika hawezi kuendelea na uyoo mwanamke pole sana
 
Nahisi Una matatizo ya akili au labda Una tatizo la uzazi Kwa mwanaume aliyekamilika hawezi kuendelea na uyoo mwanamke pole sana
Mimi na wewe nani mwenye matatizo ya akili ndg,umesoma vizuri kweli au umekurupuka ku comment?
 
kumpa talaka na kuendelea na maisha yako shilingi ngapi?

au ndio unaogopa kugawana mali

ngoja na yeye akakane au akadai umehack na kuingilia mazungumzo yake

wakati mwingine mapenzi yakiisha kila mmoja achukue ustaarabu wake kuliko kupotezeana muda na kuumizana hisia na akili...mnajichoresha tu kwa watu
Mazungumzo ya mipango ya kuniua unasema nimemhack,kwa hiyo ndo mmezoea kuwauwa waume zenu kisa kuna sheria zinazuia kuhack mawasiliano,yeye ni mke wangu na alionesha dalili zote za kiuadui,nilifanya hivyo ili nipate ushahidi.
 
wana ndoa wakiachana sheria inasemaje kuhusu kugawana mali ambazo waliingia nazo ndoani?
 
Kinachoangaliwa zaidi katika sheria za familia (family laws) hususani pale ndoa inapovunjika au mume na mke kutengana, ni haki za wahusika katika familia hiyo (yaani baba, mama na mtoto). Kama familia ilikuwa na mali iliyochumwa pamoja akiwemo mtoto, sheria inatembeza mgawo kati ya wahusika, miongoni mwa mali za wazazi ni mtoto/ watoto wakati mali ya mtoto ni "matunzo bora".

Kanuni ya jumla ni kwamba baba ndie mwenye mtoto. Mtoto anakuwa kwa mama pale tu mazingira ya ustawi wake (walfare of the child) yatapothibitishwa kuwa yatalindwa na kumwezesha mtoto huyo kukua vyema.

Sheria ya ndoa inahusu zaidi wana ndoa na watoto waliopatikana ndani ya ndoa. Kwa wale ambao hawapo kwenye ndoa, bado sheria inatambua kuwa mtoto ni mali ya Baba. Kwa mfano sheria ya "Affiliation" inampa haki mama wa mtoto anayetarajiwa kuzaliwa au aliekwishazaliwa kuwasilisha ombi maalumu katika mahakama (Mahakama ya Wilaya) kutaka utambuzi wa baba wa mtoto husika na kumtaka baba huyo (putative father) kutoa matunzo kwa mtoto aliyezaliwa ambaye kwa mujibu wa sheria hii anatambulika kama mtoto haramu (illegitimate child).

Matunzo kwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa (out of wedlock) yanaweza kukoma ikwa baba wa mtoto ataiomba mahakama ifanye hivyo kwa kuthibitisha kuwa mtoto ametimiza miaka 14 au mama husika wa mtoto ameolewa au kuingia kwenye mahusiano ya "ki unyumba (cohabitation)" na mwanaume ambaye alikuwa ameacha.

Pia mahakama ikijiridhisha kwa sababu nyingine. Amri ya mahakama ya kumtaka baba wa mtoto atoe matunzo kwa sheria ya "Affiliation" inapoteza nguvu mara baada ya mtoto kutimiza miaka 16. (kuna dhana kuwa atakuwa ameanza kujitegemea).

Ni sawia kuwa mtoto akiwa na umri usiozidi miaka saba (7) akakaa kwa mama lakini uzoefu umeonyesha kuwa akina mama wengi wamekuwa wakitumia fursa hiyo kuchuma kupitia mgongo wa mtoto. Utakuta mama ameolewa na mume mwingine au yupo nje ya eneo ambalo mtoto yupo anapiga "uchangu" na ana mbwaga mtoto kwa bibi au ndugu, lakini bado anataka apewe matunzo ya mtoto huyo ambayo hayamfikii mtoto.

Katika mazingira kama haya, baba wa mtoto anayo haki ya kuomba mahakama apewe hifadhi ya mtoto na matunzo kukatishwa kwani kanuni ya jumla ya mtoto kuwa kwa mama itakuwa imekiukwa!.
Je, baada ya mahakama kuamua ndoa ivunjwe na talaka itolewe pale inapotaka kufanya maamuzi ya kugawa mali kwa kuangalia mchango wa kila mwanandoa kwenye mali husika uwa wanaangalia na haki ya urithi ya watoto kwenye mali hiyo? Mfano wanandoa hao wamebahatika kuwa na nyumba moja tu labda yenye vyumba vitatu. Na kabla ya ndoa inayotakiwa kuvunjwa mwanaume alikuwa kazaa n mwanamke mwingine watoto wawili ambao umri wao ni chini ya miaka 18 na baada ya ndoa inayotakiwa kuvunjwa wanandoa hao wamepata watoto watatu ambao pia ni chini ya miaka 18. Je, wakati wa kuamua haki ya mwanamke kwenye nyumba hiyo mahakama itaangalia pia haki ya urithi kwa watoto wote hao watano? Kwa kuchukulia huo mfano wa nyumba yenye vyumba vitatu mgao unaweza kuwaje?
 
Mke wangu alitoa ujauzito wa hawara yake baada ya jaribio la kunipachika ujauzito kushindikana,baada ya kumbana akawa na mpango wa kuniua,ikishindikana mm basi auwe watoto(ushahidi audio),nikapeleka malalamiko kwa ndg zake sikupewa ushirikiano,nikaenda kwa imam wa msikiti,baada ya mke kukiri alitoa ujauzito imam akamweleza ukweli kuwa umekosea kwa sheria za dini na kiserikali,baadae mke wangu akaanza kumtumia imam msg za matusi,
Nikaenda kutoa taarifa serikali ya mtaa kuhusu jambo hilo,kurudi nyumbani mke hayupo kaenda kwa dada yake mwaka2019 hadi leo,ndg zake hawanipi ushirikiano naambulia matusi,baba yake mzazi hanipi ushirikiano hapokei simu zangu,
Ghafla nikapokea wito wa police,nikaenda stakishari nikamkuta mke wangu na madai yake kuwa nimemfuluza nyumbani,niliwapa police zile audio ikaonekana yy ndo mkosaji,
Akaondoka kurudi kwa dada yake baada ya wiki nikapokea tena wito wa ustawi wa jamii,nikaenda nikamshinda tena,
Nikapokea wito wa kadhi mkoa,nikaenda ikaonekana kuna janjajanja nikimaanisha hakuanzia kata kaenda moja kwa moja mkoa,shauri likarudishwa kata nikamshinda,
Sasa tunaelekea Bakwata wilaya ila lengo langu ni kufungua mashtaka dhidi ya baba mkwe,dada yake anaeishi kwake maana baada ya mke kukimbilia huko wakaungana pamoja mimi sikupewa ushirikiano,pili kumshitaki mke wangu kwakosa la kutoa ujauzito,kutishia kuniua, kutishia kuuwa watoto na kutoa maneno ya kudhalilisha kwa mama yangu mzazi,pia nilipwe fidia kwa usumbufu ninaopata kutokana na kusumbuliwa.
Wajuzi wa sheria mnanishauri nn juu ya hili?
Nb,hizi audio nilimrekodi baada ya kuona kuna mabadiliko ya kitabia,nikamwekea 8Gb memory card kwnye simu yake kisha simu nikaiweka Auto record,
We ni nomaa
Kiboko ya wasaliti....

Badala ashuke tayari ana makosa bado anapambana
Inaudhi sana

Sijui sheria ila kata RB na talaka kbs hashindwi kukuua huyo
 
Sasa kama nimetengana na mke wangu na niliwahi kuishi nae kwa miaka 5 baada ya hapo nilimwacha sehemu ambayo niliyokuwa nimepanga , kilichonikimbiza ni ugumu wa maisha niliondoka bila kumuaga , Baada ya siku narudi nakuta mke wangu ambaye nimezaa nae mtoto kaondoka na kaolewa kwingine Je naruhusiwa kwenda kwenye sheria ili nimrudie mke wangu maana bado nampenda sana.
Ungempenda ungemuacha bila kumuaga?.

Kaoe mwingine
 
Polisi haihusiki kabisa na maswala ya madai.
Sheria ya ndoa ya Tanzania vilevile inatengeneza makosa ya jinai ambayo yapo apart VII kuanzia section 145 na watu wanaenda jela hivyo polisi wana uwezo wa kufungua makosa hayo na kukamata walio contravene vifungu hivyo
 
Ndoa ya serikali ila mwanamke akatoroka huu ni mwezi wa tatu je utaratibu wa kumuacha ukoje?
 
Je, baada ya mahakama kuamua ndoa ivunjwe na talaka itolewe pale inapotaka kufanya maamuzi ya kugawa mali kwa kuangalia mchango wa kila mwanandoa kwenye mali husika uwa wanaangalia na haki ya urithi ya watoto kwenye mali hiyo? Mfano wanandoa hao wamebahatika kuwa na nyumba moja tu labda yenye vyumba vitatu. Na kabla ya ndoa inayotakiwa kuvunjwa mwanaume alikuwa kazaa n mwanamke mwingine watoto wawili ambao umri wao ni chini ya miaka 18 na baada ya ndoa inayotakiwa kuvunjwa wanandoa hao wamepata watoto watatu ambao pia ni chini ya miaka 18. Je, wakati wa kuamua haki ya mwanamke kwenye nyumba hiyo mahakama itaangalia pia haki ya urithi kwa watoto wote hao watano? Kwa kuchukulia huo mfano wa nyumba yenye vyumba vitatu mgao unaweza kuwaje?
kuongelea kitu kinachoitwa "haki ya urithi" huanza tu pale mtu (mmiliki wa mali) anapofariki. kama bado yupo hai, hiyo haki haipo. talaka ni talaka, na mirathi ni mirathi. kugawana mali kwa mujibu wa mchango ni kugawana, urithi hadi mtu afe. usichanganye talaka na maintainance ya watoto au na mirathi.
 
Kuna kitabu nasoma hapa,nimeona huko nje wenzetu wana kitu kinaitwa Almony ,hii ikitokea devorce basi Mwanaume ataprovide financial support kwa mwenza wake aliechana nae kwa kipind fulani, muda na kiasi cha malipo inategemea na miaka ya ndoa mliyotimiza,kama kuanzia 15 hadi 20 basi utamuhudumia maisha,chini ya hapo inakua nusu ya mda mlio dumu,mfano kama mmekaa miaka mi 5 ,basi utamuhudumia kwa miaka 2.5 , yani nusu ya miaka 5,

Hii kwetu haijafika bado? Watalamu tupeni nondo.

Pia nimeona devorce ina Child support na marital property,hii ndio ile ya kugawana 50/50 assets zenu,baadh ya nchi mwanamke aweza pewa 80% kabisaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom