Sheria hazina maana Kwa asiyenacho: Ijapokua ni afadhali ziwepo kwani zinawalinda wasionacho dhidi ya wasionacho!

Jugado

JF-Expert Member
Oct 28, 2021
1,449
3,153
Members,
Sheria zinawalinda wenye nguvu tu. Yaani nguvu hapa namanisha pesa/madaraka/umaarufu(fame)

Mwenye nguvu akiua Kwa makusudi kesi yake itageuzwa geuzwa kuwa "kuua bila kukusudia" na jela haendi aue kabwela akaozee jela!

Mwenye nguvu anaweza fanya chochote na jamii ikamuunga mkono!

Anaweza kukwepa Kodi akaitwa meza ya mazungumzo na hakaisha kisimpo tu! Kwepa Kodi kabwela uone balaa lake!

Hata hivyo ni afadhali Sheria ziwepo ili kulinda wasionacho dhidi ya wasionacho. Namaanisha kuna wasionacho wenye maguvu ya mwili! Hawa bila Sheria wangewadhulumu wasionacho wasio na maguvu!

Hawa wasionacho wenye maguvu ya mwili Kwa kuwa hawawezi kuwadhulumu wenye nacho basi watadhulumu wasionacho wenzao. Inakua kama porini.

Ikiwa unajua huna kitu ni bora kuishi low profile life kujiepusha na purukushani za dunia ya dhuluma.

Kwenye ngazi ya familia ni hivyo hivyo kuna dhuluma, wivu, chuki, husda etc. Kuna Uzi fulani wa taikon unavyoeza jinsi mandugu walivyo na wivu yaani umenunua tu ki IST mtu anataka uanguke nalo ila usife! Liharibike uteseke😀😀
Good morning
 
Uzuri at the end of the day wote tutarudi mavumbini
IMG-20230718-WA0012.jpg
 
Members,
Sheria zinawalinda wenye nguvu tu. Yaani nguvu hapa namanisha pesa/madaraka/umaarufu(fame)

Mwenye nguvu akiua Kwa makusudi kesi yake itageuzwa geuzwa kuwa "kuua bila kukusudia" na jela haendi aue kabwela akaozee jela!

Mwenye nguvu anaweza fanya chochote na jamii ikamuunga mkono!

Anaweza kukwepa Kodi akaitwa meza ya mazungumzo na hakaisha kisimpo tu! Kwepa Kodi kabwela uone balaa lake!

Hata hivyo ni afadhali Sheria ziwepo ili kulinda wasionacho dhidi ya wasionacho. Namaanisha kuna wasionacho wenye maguvu ya mwili! Hawa bila Sheria wangewadhulumu wasionacho wasio na maguvu!

Hawa wasionacho wenye maguvu ya mwili Kwa kuwa hawawezi kuwadhulumu wenye nacho basi watadhulumu wasionacho wenzao. Inakua kama porini.

Ikiwa unajua huna kitu ni bora kuishi low profile life kujiepusha na purukushani za dunia ya dhuluma.

Kwenye ngazi ya familia ni hivyo hivyo kuna dhuluma, wivu, chuki, husda etc. Kuna Uzi fulani wa taikon unavyoeza jinsi mandugu walivyo na wivu yaani umenunua tu ki IST mtu anataka uanguke nalo ila usife! Liharibike uteseke
Good morning
Huku kwetu kunajamaa alimpeleka bosi wake mahakamni kwa kutomlipa sitahiki zake yule kabwela akapanda cot kabwela alishinda kesi.Nichokuomba kaka usikate tamaa tupiganie katiba mpya ili kila mtu apate haki yake
 
Huku kwetu kunajamaa alimpeleka bosi wake mahakamni kwa kutomlipa sitahiki zake yule kabwela akapanda cot kabwela alishinda kesi.Nichokuomba kaka usikate tamaa tupiganie katiba mpya ili kila mtu apate haki yake
Asante sana
 
Jamaa aliemkaanga mkewe kwa magunia ya mkaa sio masikini yule Ila ananyea debe ukitaka kujua fanya tukio kubwa litakaloleta majonzi kwa jamii hata km una pesa lazima upitie msoto km Sabaya na utalia km Mtoto
✍️
Mbona sabaya yupo nje.
Kuingia jela na kukaa jela ni vitu viwili tofaut, tajiri anaingia jela Sio kukaa jela labda Kama kazinguana na wanasiasa au walamba asali
 
Mbona sabaya yupo nje.
Kuingia jela na kukaa jela ni vitu viwili tofaut, tajiri anaingia jela Sio kukaa jela labda Kama kazinguana na wanasiasa au walamba asali
Hujanielewa kuingia jela na kukaa utajua pale utakapomkaanga mkeo kwa kutumia magunia matatu ya mkaa alafu plea guilt kwamba 'ndio kweli nimemchoma' alafu onyesha ushahidi wote a-z ndio utaelewa jela unaenda kukaa au unaenda kuingia wewe na pesa zako mtanyea ndoo
✍️
 
Hujanielewa kuingia jela na kukaa utajua pale utakapomkaanga mkeo kwa kutumia magunia matatu ya mkaa alafu plea guilt kwamba 'ndio kweli nimemchoma' alafu onyesha ushahidi wote a-z ndio utaelewa jela unaenda kukaa au unaenda kuingia wewe na pesa zako mtanyea ndoo
✍️
Matajiri wachache wenye akili mbovu za kuteswa na mapenzi case Kama hizo chache
 
Members,
Sheria zinawalinda wenye nguvu tu. Yaani nguvu hapa namanisha pesa/madaraka/umaarufu(fame)

Mwenye nguvu akiua Kwa makusudi kesi yake itageuzwa geuzwa kuwa "kuua bila kukusudia" na jela haendi aue kabwela akaozee jela!

Mwenye nguvu anaweza fanya chochote na jamii ikamuunga mkono!

Anaweza kukwepa Kodi akaitwa meza ya mazungumzo na hakaisha kisimpo tu! Kwepa Kodi kabwela uone balaa lake!

Hata hivyo ni afadhali Sheria ziwepo ili kulinda wasionacho dhidi ya wasionacho. Namaanisha kuna wasionacho wenye maguvu ya mwili! Hawa bila Sheria wangewadhulumu wasionacho wasio na maguvu!

Hawa wasionacho wenye maguvu ya mwili Kwa kuwa hawawezi kuwadhulumu wenye nacho basi watadhulumu wasionacho wenzao. Inakua kama porini.

Ikiwa unajua huna kitu ni bora kuishi low profile life kujiepusha na purukushani za dunia ya dhuluma.

Kwenye ngazi ya familia ni hivyo hivyo kuna dhuluma, wivu, chuki, husda etc. Kuna Uzi fulani wa taikon unavyoeza jinsi mandugu walivyo na wivu yaani umenunua tu ki IST mtu anataka uanguke nalo ila usife! Liharibike uteseke
Good morning
Hakika umeandika Kwa uchungu Sana. Maisha Yana mchanganyiko mkubwa ndani yake, yaani tajiri na kiongozi mkubwa akikosea basi Hilo sio kosa, akiiba hela za wanyonge sio kosa kabisa. Sasa mnyonge aibe kuku ni atakiona Cha mtemakuni Kwa kipigo Kwa wasio nacho wenziwe na kwenye vyombo vya Dola. Cha msingi ni kuishi Kwa kuvumilia na kutenda mema Kwa matarajio makubwa huko mbinguni. Maana sipati picha MUNGU angekuwa anaonyesha mtu akifa tu , akifika kwenye kiti Cha hukumu anapata hukumu Gani, hakika watu wote bila kujali cheo ama kipato tungeishi Kwa kusaidiana sana na hata kumuuliza mtu kama anashida kabla hata hajakuomba.
 
Matajiri wachache wenye akili mbovu za kuteswa na mapenzi case Kama hizo chache
Ndio nimekupa mfano wa kuingia jela na kukaa jela unatakiwa ufanyeje, piga tukio na pesa zako mfano mdogo ua mtu mpige risasi tu kichwani on public alafu subiri ufikishwe Mahakamani ukifika mbele ya jaji au hakimu plea guilt yaan kubari kosa sema 'kweli nimeua Mimi tajiri nataka kwenda jela' na hakikisha unakataa uwakilishi wa mwanasheria sema nitajiwakilisha mwenyewe alafu subiri uone km hujanyea jela wewe na pesa zako
✍️
 
Back
Top Bottom