Shaka afurahishwa na DIT kuhamisha magari 1,000 kutoka mfumo wa mafuta kwenda wa gesi. Ampongeza Rais Samia kwa kutoa TZS 100BL kwa ajili ya CNG

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
5,059
4,225

CCM YAPONGEZA JITIHADA ZA RAIS SAMIA KUIWEZESHA DIT

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Chama Cha Mapinduzi kimeridhishwa na hatua zinazochukuliwa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuiwezesha Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo vya umahiri ambapo zaidi ya Sh. bilioni 100 zimewekwa na Serikali.

IMG-20220829-WA0161.jpg

Akizungumza baada ya kufanya ziara fupi DIT, Shaka amesema wamekuwa wakienda maeneo mbalimbali kukagua na kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025 katika mashirika na taasisi ambazo zimepewa dhamana na Serikali.

“Kumekuwa na jitihada kubwa zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia kwenye uwekezaji wa fedha nyingi za maendeleo maeneo mbalimbali. Moja ya eneo ambalo pengine hatujafika kuona namna ambavyo fedha zimewekwa na utekelezaji unaendelea ni eneo hili lililobeba teknolojia.

IMG-20220829-WA0158.jpg

“Nikisema teknolojia tunamanisha mfumo mzima wa mabadiliko haya ya kidunia na hapa nazungmzia TEHAMA, leo tumepata fursa hii kuona namna ambavyo wenzetu wa DIT wanatumia utaalamu huu kubadilisha miundombinu hii ya magari kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye gesi.

IMG-20220829-WA0163.jpg
Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya DIT Preksedis Ndomba alisema wanaishukuru Serikali kwa kufanya uwekezaji mkubwa kwenye taasisi hiyo na kazi iliyopo mbele yao ni kuhakikisha wanatekeleza miradi ya ujenzi wa vituo vya umahiri huku akitumia nafasi hiyo kuelezea kwenye ufungaji wa mifumo ya kutumia gesi kwenye magari wameendelea na sasa wameshafunga kwenye magari 1000 na miongoni mwao yamo magari ya Serikali.

== ==

Soma pia...

DIT INATEKELEZA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWA VITENDO IUNGWE MKONO -SHAKA

IMG-20220829-WA0156.jpg


Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema kazi nzuri inayofanywa na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kubadilisha mfumo wa magari kutoka kutumia mafuta kwenda katika matumizi ya gesi, ni kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa vitendo.

Amesema hatua hiyo itachichea matumizi ya teknolojia na kwenda sawa ma mkakati wa kutumia rasilimalinzilizopo nchini kujikwamua kiuchumi.

IMG-20220829-WA0153.jpg

Shaka amesema hayo ndiyo maelekezo ya Chama Cha Mapinduzi, hivyo amepongeza Rais Samia Suluhu Hassan a ambaye ametoa zaidi ya sh. Bilioni 100 kwa ajili kuendeleza vituo vya umahiri ambavyo ni muhimu kwa kuleta mabadiliko ya kiuchumi.
 
Is this very strange and things to proud with.

Hii ni simple technology ambayo ilipaswa kuwe na watalaam weeeengi mtaani wenye uwezo wa kuifanya na kwa gharama ambazo ni rahisi kwa wananchi.

Kama Taifa ilipaswa tuwe na mpango mbadala rahisi kupunguza gharama za maisha baadala ya zimamoto na cheap politics, Je hiyo conversion itasaidia watanzania wangapi wanaoteseka na gharama za maisha? Daladala ngapi na mabus mangapi ya mikoani yenye huo mfumo na nauli imekuwa cheap?
 
Pongezi kwa serikali yetu kwa kuhakikisha kuwa haibaki nyuma katika maendeleo ya teknolojia, kwa kuwa Jambo Hilo likifanikiwa litaleta faida kubwa kwa nchi kwa kuwa gesi tunayo hapa nchini na pia matumizi yake Ni salama hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia inakimbia kuondokana na matumizi ya mafuta.

Pili nampongeza sana Ndugu Shaka Hamidu Shaka kwa namna ambavyo amekuwa mfuatiliaji mzuri wa utekelezaji wa ilani ya CCM, lakini pia amekuwa akifuatilia kuhakikisha kuwa kazi hazikwami kwa sababu yoyote Ile.

Namuona Ndugu Shaka akifika mbali Sana kiuongozi katika nchi yetu na kuja kuwa msaada mkubwa Sana maana Anayo maono makubwa sana.
 
Lazima ujuwe huo ni mwanzo hata mbuyu ulianza Kama mchicha, Teknolojia itafika kwote, Sasa wewe unataka mtoto azaliwe na kuanza kukimbia hapo hapo
 
Je Mr.Shaka ameanza kutumia magari yanayotumia gas? Au ndio another politics hapa
 
Je Mr.Shaka ameanza kutumia magari yanayotumia gas?,au ndio another politics hapa
Kila Mtanzania mwenye uwezo wa kumiliki gari atakuwa na nafasi ya kutumia mfumo huo na Wala haimaanishi kuwa Ndugu Shaka yupo na gari lake la kutumia mfumo huo, hapo anaangalia utekelezaji na mafanikio yake hasa baada ya serikali kuweka fedha za kutosha, nimemsaidia tu Shaka kujibu kutokana na uelewa wangu.
 
Kila mtanzania mwenye uwezo wa kumiliki gari atakuwa na nafasi ya kutumia mfumo huo na Wala haimaanishi kuwa Ndugu Shaka yupo na gari lake la kutumia mfumo huo, Hapo anaangalia utekelezaji na mafanikio yake hasa baada ya serikali kuweka fedha za kutosha, nimemsaidia tu Shaka kujibu kutokana na uelewa wangu
Sawa mkuu nimekuelewa ,magari ya mfumo wa gas hapa Tanzania, Mungu tusaidie
 
Nimesoma nyuzi zako nyingi ni zenye faida, kwa kutuhabarisha sisi wananchi wa kawaida. Umetufanya sasa, tumezidi kuelewa, mambo ya maendeleo, yanayofanywa na serekali yetu.

Tafadhali, zidi kutuletea, nyuzi kwa faida yetu sisi wananchi wa kawaida.
 
Kwenye eneo la propaganda na kukitangaza chama mtandaoni CCM wanafanya vizuri sana awamu hii.
Chadema eneo hilo walikuwa wanafanya vizuri sana miaka ya 2006-2014. Hata JF ya kipindi hicho ilikuwa inaonekana kama sehemu ya propaganda za CHADEMA. Na kiukweli hata waliokuwa wanakisemea au kuonyesha mlengo wa CHADEMA mitandaoni hasa JF wengi wao walikuwa wapo 'nondo' sana. Ilikuwa si ajabu kukuta makala au ukosoaji ulioenda shule sana. Sasa hivi naona kwenye eneo hilo Chadema hawafanyi vizuri, ni kama kuna kukata tamaa.
 
Is this very strange and things to proud with.

Hii ni simple technology ambayo ilipaswa kuwe na watalaam weeeengi mtaani wenye uwezo wa kuifanya na kwa gharama ambazo ni rahisi kwa wananchi.

Kama Taifa ilipaswa tuwe na mpango mbadala rahisi kupunguza gharama za maisha baadala ya zimamoto na cheap politics, Je hiyo conversion itasaidia watanzania wangapi wanaoteseka na gharama za maisha? Daladala ngapi na mabus mangapi ya mikoani yenye huo mfumo na nauli imekuwa cheap?
Katika siku umeongea madini ni hii, ✔️
 
Nimesoma nyuzi zako nyingi ni zenye faida, kwa kutuhabarisha sisi wananchi wa kawaida. Umetufanya sasa, tumezidi kuelewa, mambo ya maendeleo, yanayofanywa na serekali yetu.

Tafadhali, zidi kutuletea, nyuzi kwa faida yetu sisi wananchi wa kawaida.
Kikwajuni One furaha yangu ni kuona Mama Samia hapati usumbufu huku mitandaoni wala Serikali yangu na Chama changu havitetereki.
 

CCM YAPONGEZA JITIHADA ZA RAIS SAMIA KUIWEZESHA DIT

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Chama Cha Mapinduzi kimeridhishwa na hatua zinazochukuliwa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuiwezesha Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo vya umahiri ambapo zaidi ya Sh. bilioni 100 zimewekwa na Serikali.


Akizungumza baada ya kufanya ziara fupi DIT, Shaka amesema wamekuwa wakienda maeneo mbalimbali kukagua na kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025 katika mashirika na taasisi ambazo zimepewa dhamana na Serikali.

“Kumekuwa na jitihada kubwa zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia kwenye uwekezaji wa fedha nyingi za maendeleo maeneo mbalimbali. Moja ya eneo ambalo pengine hatujafika kuona namna ambavyo fedha zimewekwa na utekelezaji unaendelea ni eneo hili lililobeba teknolojia.


“Nikisema teknolojia tunamanisha mfumo mzima wa mabadiliko haya ya kidunia na hapa nazungmzia TEHAMA, leo tumepata fursa hii kuona namna ambavyo wenzetu wa DIT wanatumia utaalamu huu kubadilisha miundombinu hii ya magari kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye gesi.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya DIT Preksedis Ndomba alisema wanaishukuru Serikali kwa kufanya uwekezaji mkubwa kwenye taasisi hiyo na kazi iliyopo mbele yao ni kuhakikisha wanatekeleza miradi ya ujenzi wa vituo vya umahiri huku akitumia nafasi hiyo kuelezea kwenye ufungaji wa mifumo ya kutumia gesi kwenye magari wameendelea na sasa wameshafunga kwenye magari 1000 na miongoni mwao yamo magari ya Serikali.

== ==

Soma pia...

DIT INATEKELEZA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWA VITENDO IUNGWE MKONO -SHAKA


Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema kazi nzuri inayofanywa na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kubadilisha mfumo wa magari kutoka kutumia mafuta kwenda katika matumizi ya gesi, ni kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa vitendo.

Amesema hatua hiyo itachichea matumizi ya teknolojia na kwenda sawa ma mkakati wa kutumia rasilimalinzilizopo nchini kujikwamua kiuchumi.

Shaka amesema hayo ndiyo maelekezo ya Chama Cha Mapinduzi, hivyo amepongeza Rais Samia Suluhu Hassan a ambaye ametoa zaidi ya sh. Bilioni 100 kwa ajili kuendeleza vituo vya umahiri ambavyo ni muhimu kwa kuleta mabadiliko ya kiuchumi.
Shaka huyu awe Rais tu huku Zanzibar huenda akatusaidia Sana.
 

CCM YAPONGEZA JITIHADA ZA RAIS SAMIA KUIWEZESHA DIT

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Chama Cha Mapinduzi kimeridhishwa na hatua zinazochukuliwa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuiwezesha Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo vya umahiri ambapo zaidi ya Sh. bilioni 100 zimewekwa na Serikali.


Akizungumza baada ya kufanya ziara fupi DIT, Shaka amesema wamekuwa wakienda maeneo mbalimbali kukagua na kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025 katika mashirika na taasisi ambazo zimepewa dhamana na Serikali.

“Kumekuwa na jitihada kubwa zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia kwenye uwekezaji wa fedha nyingi za maendeleo maeneo mbalimbali. Moja ya eneo ambalo pengine hatujafika kuona namna ambavyo fedha zimewekwa na utekelezaji unaendelea ni eneo hili lililobeba teknolojia.


“Nikisema teknolojia tunamanisha mfumo mzima wa mabadiliko haya ya kidunia na hapa nazungmzia TEHAMA, leo tumepata fursa hii kuona namna ambavyo wenzetu wa DIT wanatumia utaalamu huu kubadilisha miundombinu hii ya magari kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye gesi.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya DIT Preksedis Ndomba alisema wanaishukuru Serikali kwa kufanya uwekezaji mkubwa kwenye taasisi hiyo na kazi iliyopo mbele yao ni kuhakikisha wanatekeleza miradi ya ujenzi wa vituo vya umahiri huku akitumia nafasi hiyo kuelezea kwenye ufungaji wa mifumo ya kutumia gesi kwenye magari wameendelea na sasa wameshafunga kwenye magari 1000 na miongoni mwao yamo magari ya Serikali.

== ==

Soma pia...

DIT INATEKELEZA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWA VITENDO IUNGWE MKONO -SHAKA


Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema kazi nzuri inayofanywa na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kubadilisha mfumo wa magari kutoka kutumia mafuta kwenda katika matumizi ya gesi, ni kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa vitendo.

Amesema hatua hiyo itachichea matumizi ya teknolojia na kwenda sawa ma mkakati wa kutumia rasilimalinzilizopo nchini kujikwamua kiuchumi.

Shaka amesema hayo ndiyo maelekezo ya Chama Cha Mapinduzi, hivyo amepongeza Rais Samia Suluhu Hassan a ambaye ametoa zaidi ya sh. Bilioni 100 kwa ajili kuendeleza vituo vya umahiri ambavyo ni muhimu kwa kuleta mabadiliko ya kiuchumi.

CCM YAPONGEZA JITIHADA ZA RAIS SAMIA KUIWEZESHA DIT

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Chama Cha Mapinduzi kimeridhishwa na hatua zinazochukuliwa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuiwezesha Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo vya umahiri ambapo zaidi ya Sh. bilioni 100 zimewekwa na Serikali.


Akizungumza baada ya kufanya ziara fupi DIT, Shaka amesema wamekuwa wakienda maeneo mbalimbali kukagua na kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025 katika mashirika na taasisi ambazo zimepewa dhamana na Serikali.

“Kumekuwa na jitihada kubwa zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia kwenye uwekezaji wa fedha nyingi za maendeleo maeneo mbalimbali. Moja ya eneo ambalo pengine hatujafika kuona namna ambavyo fedha zimewekwa na utekelezaji unaendelea ni eneo hili lililobeba teknolojia.


“Nikisema teknolojia tunamanisha mfumo mzima wa mabadiliko haya ya kidunia na hapa nazungmzia TEHAMA, leo tumepata fursa hii kuona namna ambavyo wenzetu wa DIT wanatumia utaalamu huu kubadilisha miundombinu hii ya magari kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye gesi.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya DIT Preksedis Ndomba alisema wanaishukuru Serikali kwa kufanya uwekezaji mkubwa kwenye taasisi hiyo na kazi iliyopo mbele yao ni kuhakikisha wanatekeleza miradi ya ujenzi wa vituo vya umahiri huku akitumia nafasi hiyo kuelezea kwenye ufungaji wa mifumo ya kutumia gesi kwenye magari wameendelea na sasa wameshafunga kwenye magari 1000 na miongoni mwao yamo magari ya Serikali.

== ==

Soma pia...

DIT INATEKELEZA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWA VITENDO IUNGWE MKONO -SHAKA


Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema kazi nzuri inayofanywa na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) kubadilisha mfumo wa magari kutoka kutumia mafuta kwenda katika matumizi ya gesi, ni kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa vitendo.

Amesema hatua hiyo itachichea matumizi ya teknolojia na kwenda sawa ma mkakati wa kutumia rasilimalinzilizopo nchini kujikwamua kiuchumi.

Shaka amesema hayo ndiyo maelekezo ya Chama Cha Mapinduzi, hivyo amepongeza Rais Samia Suluhu Hassan a ambaye ametoa zaidi ya sh. Bilioni 100 kwa ajili kuendeleza vituo vya umahiri ambavyo ni muhimu kwa kuleta mabadiliko ya kiuchumi.

Matapeli na majizi ya kura katika ubora wenu.
 
Back
Top Bottom