Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
Daaah.....
Habari za jioni wana JR!
hapa nataka kuzungumzia kidogo bajeti ya 20012/2013 na marekebisho ya kodi ya magari!
yako hivi
a) hakuna excemption kwa wafanyakazi wa serikali,
b) Magari ya mashirika ya dini yatalipiwa kila kitu
c)magari chakavu yanapigwa penalty less than 8 years not 10 years kama ilivyokuwa
hii imepitishwa na ile wanaita general budget and imeanza kauwa implimented pale TRA!
Control ya ushuru wa magari ya mashirika ya dini na watumishi ni ngumu sana , mara nyingi imekuwa ikitumika vibaya ndio maana imeondolewa. Kuna watumishi wa kada za kawaida wanaagiza magari kila mwezi!