Serikali ifanye maamuzi magumu ya kupiga marufuku bodaboda mimi zitumike vijijini tu kupungiza ajali au iweke kodi kubwa zisiingie nchini kwa wingi

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,093
144,556
Leo hii kuna ajali imetokoe huko. Misungwi ambapo bodaboda zinazodaiwa kuwa katika mwendo wa kasi zimegongana na waliokuwa kwenye hizo pikipi kuungua moto vibaya sana ingawa wanacnhi waliwaokoa kwa kuwamwagia mchanga. na sidhani kama wote wame-survuve (mtu anaangua kama nyama iliyowekwa kwenye wavu ikichomwa).

Nimeona clip kwakweli inaumiza sana kuona mwanadsmu mwenzako anateketea kwa moto na kuja kuokolewa dakika za mwisho na sijui kama watapona.

Nafikiri wakati umefika watanzania na serikali kwa ujumla tupige hesabu ya faida na hasara ya hizo bodaboda licha ya ukweli kuwa bodaboda hizi zimekuwa. zikitoa ajira kwa mamia kama sio maelefu ya vijana wa Kitanzania.

Binafsi nafikiri wakati umefika kwa serikali kufanya maamuzi magumu ya kupiga marufuku hizo bodaboda ingawa najua kelele zitakuwa kubwa na sasa itahusika sana.

Kama ni lazima sana, option mojawapo iwe ni hizi bodaboda kupigwa kabisa marufuku maeneo ya mijini zibaki kutumika vijijini ambako barabara haziruhusu sana kuendesha hizi pikipiki kwa kasi kama huku mijini ambapo miundombinu ni bora ila ni hatari sana kwa hizo bodaboda.

Option nyingine ni serikali kuweka kodi kubwa ili kupunguza kabisa uingizaji wa hizi bodaboda humu nchini na baadae zitoweke kabisa.

Bodaboda zikitoweka au kupigwa marufuku, ni wazi kutakuwa na madhara kwa waliojiajiri katika hiyo kazi na sisi wote tunaotumua bodaboda katika safari kama vile kwenda/kuwahi makazimi, sehemu za biashara na kufikia maeneo ambayo magari hayafiki kabisa.

Hata hivyo, ni bora watu wakateseka kwa kukosa ajira au huo usafiri, kuliko kuacha kundi kubwa la vijana wa Kitanzania wakipoteza maisha na wengine kupata ulemavu kisa tu ajira jambo ambalo linaweza kutatuliwa watu wakiamua kukaa chini na kutafuta suluhisho la ajira kwa vijana wetu.
 
Leo hii kuna ajali imetokoe huko. Misungwi ambapo bodaboda zinazodaiwa kuwa katika mwendo wa kasi zimegongana na waliokuwa kwenye hizo pikipi kuungua moto vibaya sana ingawa wanacnhi waliwaokoa kwa kuwamwagia mchanga. na sidhani kama wote wame-survuve (mtu anaangua kama nyama iliyowekwa kwenye wavu ikichomwa).

Nimeona clip kwakweli inaumiza sana kuona mwanadsmu mwenzako anateketea kwa moto na kuja kuokolewa dakika za mwisho na sijui kama watapona.

Nafikiri wakati umefika watanzania na serikali kwa ujumla tupige hesabu ya faida na hasara ya hizo bodaboda licha ya ukweli kuwa bodaboda hizi zimekuwa. zikitoa ajira kwa mamia kama sio maelefu ya vijana wa Kitanzania.

Binafsi nafikiri wakati umefika kwa serikali kufanya maamuzi magumu ya kupiga marufuku hizo bodaboda ingawa najua kelele zitakuwa kubwa na sasa itahusika sana.

Kama ni lazima sana, option mojawapo iwe ni hizi bodaboda kupigwa kabisa marufuku maeneo ya mijini zibaki kutumika vijijini ambako barabara haziruhusu sana kuendesha hizi pikipiki kwa kasi kama huku mijini ambapo miundombinu ni bora ila ni hatari sana kwa hizo bodaboda.

Option nyingine ni serikali kuweka kodi kubwa ili kupunguza kabisa uingizaji wa hizi bodaboda humu nchini na baadae zitoweke kabisa.

Bodaboda zikitoweka au kupigwa marufuku, ni wazi kutakuwa na madhara kwa waliojiajiri katika hiyo kazi na sisi wote tunaotumua bodaboda katika safari kama vile kwenda/kuwahi makazimi, sehemu za biashara na kufikia maeneo ambayo magari hayafiki kabisa.

Hata hivyo, ni bora watu wakateseka kwa kukosa ajira au huo usafiri, kuliko kuacha kundi kubwa la vijana wa Kitanzania wakipoteza maisha na wengine kupata ulemavu kisa tu ajira jambo ambalo linaweza kutatuliwa watu wakiamua kukaa chini na kutafuta suluhisho la ajira kwa vijana wetu.

Pia bajaji
 
Leo hii kuna ajali imetokoe huko. Misungwi ambapo bodaboda zinazodaiwa kuwa katika mwendo wa kasi zimegongana na waliokuwa kwenye hizo pikipi kuungua moto vibaya sana ingawa wanacnhi waliwaokoa kwa kuwamwagia mchanga. na sidhani kama wote wame-survuve (mtu anaangua kama nyama iliyowekwa kwenye wavu ikichomwa).

Nimeona clip kwakweli inaumiza sana kuona mwanadsmu mwenzako anateketea kwa moto na kuja kuokolewa dakika za mwisho na sijui kama watapona.

Nafikiri wakati umefika watanzania na serikali kwa ujumla tupige hesabu ya faida na hasara ya hizo bodaboda licha ya ukweli kuwa bodaboda hizi zimekuwa. zikitoa ajira kwa mamia kama sio maelefu ya vijana wa Kitanzania.

Binafsi nafikiri wakati umefika kwa serikali kufanya maamuzi magumu ya kupiga marufuku hizo bodaboda ingawa najua kelele zitakuwa kubwa na sasa itahusika sana.

Kama ni lazima sana, option mojawapo iwe ni hizi bodaboda kupigwa kabisa marufuku maeneo ya mijini zibaki kutumika vijijini ambako barabara haziruhusu sana kuendesha hizi pikipiki kwa kasi kama huku mijini ambapo miundombinu ni bora ila ni hatari sana kwa hizo bodaboda.

Option nyingine ni serikali kuweka kodi kubwa ili kupunguza kabisa uingizaji wa hizi bodaboda humu nchini na baadae zitoweke kabisa.

Bodaboda zikitoweka au kupigwa marufuku, ni wazi kutakuwa na madhara kwa waliojiajiri katika hiyo kazi na sisi wote tunaotumua bodaboda katika safari kama vile kwenda/kuwahi makazimi, sehemu za biashara na kufikia maeneo ambayo magari hayafiki kabisa.

Hata hivyo, ni bora watu wakateseka kwa kukosa ajira au huo usafiri, kuliko kuacha kundi kubwa la vijana wa Kitanzania wakipoteza maisha na wengine kupata ulemavu kisa tu ajira jambo ambalo linaweza kutatuliwa watu wakiamua kukaa chini na kutafuta suluhisho la ajira kwa vijana wetu.
Kwa nini husemi pengine viroba vya k-vant za sh. 1,000 nk ndio chanzo au kichocheo cha waendesha boda kuendesha kwa fujo na mwisho kupata au kusababisha ajali kama hiyo imetokea misungwi?
 
Back
Top Bottom