Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mwaka wa Fedha 2019/2020

Hii kwa mfano iwe imeliwa inatakiwa izidishwe mara ngapi kufikia ya Singasinga na Rugemalila?

Ambao pengine ni walengwa wa zile kesi zilizo amriwa kufutwa na Afande Amiri Jeshi Mkuu
 
Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Mmmmmh! Wewe! Kama ilirudishwa maana yake kuna details kuhusu hizo hela na aliyezipokea pia ana kumbukumbu zake(rejea deposits na withdrawals procedures za benki).

Je aliyezirudisha alisahau kwamba alifanya hivyo? Na je aliyezipokea pia alisahau kwamba alizipokea? Je wote wawili mtoaji na mpokeaji wana vielelezo vya kuthibitisha hayo?

Kama hawana ndo dukuduku la CAG linapoanzia hapo maana mpaka aje aseme hela hazionekani au zimetumika vibaya ndo hivyo kwamba hazina taarifa za kujitosheleza kuwa zilitumikaje .
 
Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Hilo unalijua wewe zaidi ya cag? Au wewe ni mahera au kaijage umeamua kujitetea kiana? Majibu dhaifu hivi hayaondoi maana ya kuwa nec walikwiba fedha za umma na wazirejeshe haraka!

Dpp Zama nec kamchukue mahera na kaijage tuwaone mahakama ya mafisadi kuanzia wiki ijayo! Ushahidi unao wa video na hardcopy za cag! Fedha zirudi na wahusika wachukuliwe kifungo ili heshima ya fedha za umma itamalaki! Hakuna namna zaidi ya kutekeleza hili.
 
CLOUDS nao wachukuliwe hatua.
TAKUKURU chukueni hatua kwa viongozi, hakuna kuoneana aibu.
nitashangaa sana kama hatua hazijachukuliwa, wafikishwe mahakamani.
Fedha zetu za walipa kodi zinapigwa mchana kweupe milioni 629.9 halafu hatua zisichukuliwe?!!!
Clouds wamekosa nini sasa, they are doing business. Hawana kosa kabisa makosa yako kwa CCM.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Hilo unalijua wewe zaidi ya cag? Au wewe ni mahera au kaijage umeamua kujitetea kiana? Majibu dhaifu hivi hayaondoi maana ya kuwa nec walikwiba fedha za umma na wazirejeshe haraka!..
tulia wew.. Watu wazito hao. Ni mpaka wahojiwe na kamati ya bunge la bajeti
 
Back
Top Bottom