Anamtumia nani kisiasa wakati hakuna upinzani, huyo CAG kateuliwa na Magufuli.CAG anatumika kisiasa.
Anamtumia nani kisiasa wakati hakuna upinzani, huyo CAG kateuliwa na Magufuli.CAG anatumika kisiasa.
Kwa hiyo CAG ni kilaza hakuona?Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Pinda alianza lini mambo haya ?View attachment 1746893
Mbona zililiwa mchana kweupe
Mnaumwa homa nyie.....View attachment 1746852
Je Dr Mahera ambaye ni Mkurugenzi wa uchaguzi anayo majibu ya hili ? iliwezekanaje hela hii kuliwa mbele ya hotuba nzito ya Rais kama hii ?
View attachment 1746859
Naunga mkono hojaCAG anatumika kisiasa.
Wahenga walishamaliza "Simba mwenda pole..."Pinda alianza lini mambo haya ?
😆😆😆😆Mnaumwa homa nyie.....
vithread vyenu vya kishenzi vimetamalaki!!?
lkn vitapotea kama upepo JPM alikunyosheni bloody fool......
Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Wamesambaratika vibaya sana !Mataga ww
Mmmmmh! Wewe! Kama ilirudishwa maana yake kuna details kuhusu hizo hela na aliyezipokea pia ana kumbukumbu zake(rejea deposits na withdrawals procedures za benki).Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Hilo unalijua wewe zaidi ya cag? Au wewe ni mahera au kaijage umeamua kujitetea kiana? Majibu dhaifu hivi hayaondoi maana ya kuwa nec walikwiba fedha za umma na wazirejeshe haraka!Pesa ilirudishwa Hazina. Kishwa ikapelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo
Clouds wamekosa nini sasa, they are doing business. Hawana kosa kabisa makosa yako kwa CCM.CLOUDS nao wachukuliwe hatua.
TAKUKURU chukueni hatua kwa viongozi, hakuna kuoneana aibu.
nitashangaa sana kama hatua hazijachukuliwa, wafikishwe mahakamani.
Fedha zetu za walipa kodi zinapigwa mchana kweupe milioni 629.9 halafu hatua zisichukuliwe?!!!
tulia wew.. Watu wazito hao. Ni mpaka wahojiwe na kamati ya bunge la bajetiHilo unalijua wewe zaidi ya cag? Au wewe ni mahera au kaijage umeamua kujitetea kiana? Majibu dhaifu hivi hayaondoi maana ya kuwa nec walikwiba fedha za umma na wazirejeshe haraka!..