JF Toons
Digital Art by JF
- Feb 19, 2024
- 32
- 68
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hufanya ukaguzi wa matumizi ya fedha za umma ili kuthibitisha matumizi yamefanywa kwa mujibu wa sheria na kanuni husika na kuna uwazi katika matumizi ya fedha hizo.
Ufuatiliaji wa uwasilishwaji wa ripoti hizi ni muhimu kwa wananchi ili kuhakikisha kuna uwajibikaji na wote waliohusika kwenye ufisadi na ubadhirifu wa fedha za umma wanachukuliwa hatua stahiki.