Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,139
- 4,218
Oya myebusi...wanasemaje hapo Oslo??Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
😂 😂 😂 😂 😂@inamankusweke
Hahaha, baridi /mvua kula muhimu
HahahahahaMkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Hahaaaaaa kweli misosi ya bongo watu wa ulaya mkienda huko mnaimiss. Wananiacha hoi watu wa west kuona wao ndio wana misosi mitamu Africa.Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Sasa afanyeje kama kapata pa kuponea!
Tushajua upo nje vipi kuna kingine unataka kujieleza? Aliskika mtu mmoja akisema TAFUTA HELA UPUNGUZE KUJIELEZA😂😂😂Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
AiseeMkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Ha ha. Si ungeweka kwenye jukwaa la chakula basi😂😂😂😂😂
Burger King,Dogo naona unanitafuta. Hivi unajua cheese burger wewe, drumstick
S, wings, Spanish eggs , salmon, double cheese burgers, big mac, ribs??
Nyau ww
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS