A
Anonymous
Guest
Imeshindwa kwa sababu Chakula hakikutolewa baada ya wazazi kutokuchangia, na walimu wamewazuia wanafunzi kutokuondoka kwenda kula mpaka saa 11:30 jioni, hivyo kushinda shuleni na njaa.
Hata ule muda wa saa 8:30 masomo yanapoisha hawawaruhusu kwenda kupata chakula ili masomo ya jioni yaendelee.
Hii imepelekea wanafunzi kushinda na njaa na pia wengine kuwa watoro na kufika nyumbani usiku na mazingira sio salama; hivyo serikali ya mkoa na Wilaya waliangalie.
Hata ule muda wa saa 8:30 masomo yanapoisha hawawaruhusu kwenda kupata chakula ili masomo ya jioni yaendelee.
Hii imepelekea wanafunzi kushinda na njaa na pia wengine kuwa watoro na kufika nyumbani usiku na mazingira sio salama; hivyo serikali ya mkoa na Wilaya waliangalie.