Wapo Kariakoo! Muulize cocastic atakuelekezaHawa hawana tawi hapa nnchini kwetu
Wapo Kariakoo! Muulize cocastic atakuelekezaHawa hawana tawi hapa nnchini kwetu
Mkuu,Wakati kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, umeme umekuwa mwingi kuliko matumizi? Unadhani ni legacy ya nani hiyo?
Bila shaka hii ni Ifakara kaka. Hali ni mbaya sanaMitaa yetu pamoja na mvua kuathiri maeneo yote ikiwemo miundombinu bado kuna baadhi ya wahuni wanafurahia Hali hiyo ya mvua maana ni fursa kwaoView attachment 2973577
Number zao zipo hapo Mzee wapigie, kumbuka kuanza na code ya Uganda. Ila kwa mawazo yangu naona ni tangazo Bar wameliboreshaHawa hawana tawi hapa nnchini kwetu
paNiko kwa MANING NICE ndio kwanza tumeipita RUFIJI hakika MAGUFULI alikuwa laana juu ya nchii....kuna maji mpaka unahisi kuwaona mamba kwa uoga
Pata picha unakuwa na mke kama huyu🙄Niko kwa MANING NICE ndio kwanza tumeipita RUFIJI hakika MAGUFULI alikuwa laana juu ya nchii....kuna maji mpaka unahisi kuwaona mamba kwa uoga
Buza hiyoHuku ni wapi
Elephantiasis (Makamu mwenyekiti wa Daruso) na Asha Mtwangi sijui wapo wapi, walipitiwa na Mzee Punche
Exactly, at one time kulikuwa na kijana mmoja anaitwa Uhanga. Alikuwa na nyege sna (ashukumu si matusi, samahani) na kutafuta wanawake sana ie na uhitaji wa ngono mkubwa sana. basi kipimo cha nyege kikawa UH, UH+, UH++ and UH+++.
Mzee Punch alikuwa anawaanika watu kama hao kwa kuwachora maana simu za leo hazikuwepo kupata picha ya mtu au ku google! Mzee Punch alikuwa anatoa warning kuhusu temparing na publication zake kwenye sacred wall pale Manzese cafeteria! People were warned NOT TO TEMPER WITH MZEE'S PUBLICATIONS OTHERWISE YOU WILL FACE THE CONSEQUENCIES
Masaa 36🤔🤔🤔wapi huko🙄🙄🙄Nawahurumia wa mabondeni mvua imepiga kwa takribani masaa 36 mfululizo
Ni zaidi ya hapo, daresalamMasaa 36🤔🤔🤔wapi huko🙄🙄🙄
NdioUnaongelea siku 1 na nusu mfululizo?bila kukata?🤔🤔
Itakuwa hujafuatilia ule uzi wa mafuriko Ifakara. Hii Lodge iko Ifakara mkuu.Hii Villa Lodge ipo wapi mkuu.
mzabzab huyo.Mitaa yetu pamoja na mvua kuathiri maeneo yote ikiwemo miundombinu bado kuna baadhi ya wahuni wanafurahia Hali hiyo ya mvua maana ni fursa kwaoView attachment 2973577