Kweli kabisa. Ukifa kwenye kiroba ukatupwa baharini uliwe na samaki inauma sana. Bora kwenye helikopta ndugu wataokota mabaki ya mwili wazike.Kheri kufa kwenye helicopter kuliko kwenye kiroba kilicho fungwa jiwe ..teh teh
Ni yale yale. Mpina kasema Magufuli aliuawa na kuagiza uchunguzi ufanyike lakini serikali ipo kimya. Watu walitaka afe ili wafaidi madaraka.Umenikumbusha Mpina
Wewe ni tahira kwan huoni anachokifanya Tundu lissu??
Huyo odinga unamwona wa maana sababu ya watu anaowapigania wanajielewa sio ninyi wabongo
Mwanasiasa mkongwe na maarufu nchini Kenya, Oburu Odinga, amesema bila kumumunya maneno kuwa mkuu wa majeshi wa Kenya, Jenerali Francis Ogolla ameuawa na serikali ya William Ruto. Mwanasiasa huyo ametamka maneno hayo hadharani bila kuficha wakati wa mazishi ya Ogolla yaliyofanyika nyumbani kwake katika kaunti ya Siaya, huku akishangiliwa na mamia ya waombolezaji waliohudhuria mazishi hayo.
Mbali na kuuliwa Ogolla, amedai wanasiasa wengi kwenye jamii ya waluo akina Tom Mboya na Robert Ouko waliuawa kwa namna hiyo hiyo. Amesema wakati sasa umefika uchunguzi ufanyike bila kificho ili kujua ukweli kwani hii sasa imegeuka kuwa staili ya serikali kuwaua watu katika nchi hiyo. Bila kupepesa macho wala kutikisa masikio, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hii hapo chini.
View attachment 2970428
MOANI YANGU
Tungekuwa na watu angalau watano tu wenye ujasiri kama Odinga hapa Tanzania, mauaji ya kipuuzi yanaoendelea hapa nchini yangekoma mara moja. Kama ingekuwa inawezekana tungemuazima Odinga hata kwa siku moja tu aje atusaidie kupaza sauti kuhusu ndugu zetu wanaouliwa kama panya huku watu wamekaa kimya. Inauma sana.
Hapana watanzania ndo wanajielewa ndo mana wanMshukuru rais hata wakijambaYaani wakenya ndiyo wanaojielewa.
Kwa hiyo na wewe unamshukuru rais hata akijamba; au wewe umejitoa kati ya hao watanzania?Hapana watanzania ndo wanajielewa ndo mana wanMshukuru rais hata wakijamba
Mimi sio mtanzaniaKwa hiyo na wewe unamshukuru rais hata akijamba; au wewe umejitoa kati ya hao watanzania?
Oburu Odinga si Raila Odinga ni kaka ww Raila!Mwanasiasa mkongwe na maarufu nchini Kenya, Oburu Odinga, amesema bila kumumunya maneno kuwa mkuu wa majeshi wa Kenya, Jenerali Francis Ogolla ameuawa na serikali ya William Ruto. Mwanasiasa huyo ametamka maneno hayo hadharani bila kuficha wakati wa mazishi ya Ogolla yaliyofanyika nyumbani kwake katika kaunti ya Siaya, huku akishangiliwa na mamia ya waombolezaji waliohudhuria mazishi hayo.
Mbali na kuuliwa Ogolla, amedai wanasiasa wengi kwenye jamii ya waluo akina Tom Mboya na Robert Ouko waliuawa kwa namna hiyo hiyo. Amesema wakati sasa umefika uchunguzi ufanyike bila kificho ili kujua ukweli kwani hii sasa imegeuka kuwa staili ya serikali kuwaua watu katika nchi hiyo. Bila kupepesa macho wala kutikisa masikio, hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye video hii hapo chini.
View attachment 2970428
MOANI YANGU
Tungekuwa na watu angalau watano tu wenye ujasiri kama Odinga hapa Tanzania, mauaji ya kipuuzi yanaoendelea hapa nchini yangekoma mara moja. Kama ingekuwa inawezekana tungemuazima Odinga hata kwa siku moja tu aje atusaidie kupaza sauti kuhusu ndugu zetu wanaouliwa kama panya huku watu wamekaa kimya. Inauma sana.
Nae ni mwanasiasa mkongwe pia na maarufuOburu Odinga si Raila Odinga ni kaka ww Raila!
Unapojiongopea unajisikiaje?😉Mimi sio mtanzania
By defaultUnapojiongopea unajisikiaje?😉
Endelea kujidanganya hivyo hivyo.By default
Nondo kwakua umejipata basi unajikuuuutaEndelea kujidanganya hivyo hivyo.
Upuuzi mtupu.Nondo kwakua umejipata basi unajikuuuuta