cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
- Thread starter
- #141
hili linabidi lifanyiwe kazi haraka mapato yasizidi kupotea bure lolHahahahahaha ni hapo sasa! ili kuondoa utata ni bora wote tu wakusanyiwe kodi wale wenye original figures na wale waliotumia Chinese products. Kukusanya kodi kwa Wanaume itabidi Serikali iliingize hili kwenye MKUKUTA III ili liangaliwe kwa makini zaidi.