BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,028
haya kaka yangu sema jingine!
ahhhh! niseme nini tena dada yangu watakaopata mfadhaiko watajiju...Kweli anayeomba mara nyingi maombi yake husikilizwa.
haya kaka yangu sema jingine!
nadhani wameshasikia kaka lolAhsante sana kwa kusikiliza ombi letu hiyo miPM itakayomiminika we achana nayo waambie kuna njemba imeshwahi na inajiita Lucky Man
okay kaizer wangu,unajua jinsi nilivyo mtiifu kwako,sina nguvu za kukataa ombi lako,niliamua kuziba masikio lkn kwa vile wewe daktari wangu umeniomba niirudishe,basi naomba nikuridhishe kwa kuirudisha ili roho yako na ya wote walioomba avatar irudi itulie.
wote mtakaoingia majaribuni msiniambie mimi naomba muwasiliane na kaizer kwa malalamiko ya aina yeyote ile.
sitajibu coment yeyote ile kuhusiana na kitendo cha kuirudisha lkn kumbukeni nawapenda sana!
sio siri watajeijei,kwanza tukikutana nao huko mitaani tutajificha au hatutatoka ndani basi wkt mungu mwenyewe hakuona tatizo ndo mana akaumba wengine wawe hivyo!ahhhh! niseme nini tena dada yangu watakaopata mfadhaiko watajiju...Kweli anayeomba mara nyingi maombi yake husikilizwa.
sio siri watajeijei,kwanza tukikutana nao huko mitaani tutajificha au hatutatoka ndani basi wkt mungu mwenyewe hakuona tatizo ndo mana akaumba wengine wawe hivyo!
hahaa du!utaumwa na shingo kwa kushangaa lol!Kabisa CM, na huwa tukiwaona hao waliopewa upendeleo maalum na Muumba wetu kimaumbile basi hunasimama pembeni kwa madakika chungu nzima kushangaa shangaa kwa kazi ya Muumba wetu inavyovutia na kutuweka kwenye majaribu makubwa
ngoja nifikirie halafu nitakwambia zawadi ninayotaka!Cheeeeeers!!!! Imeandikwa Ombeni nanyi mtapewa pigeni hodi nanyi mtafunguliwa lol wewe dada yangu wewe you have made my weekstart sema unataka nini as zawadi kwa kusikiliza kilio cha wengi manake hebu hii ni post ya ngapi vile!!!? Senksi for ze nidful change umezaliwa upyaaa
hahaa du!utaumwa na shingo kwa kushangaa lol!
ngoja nifikirie halafu nitakwambia zawadi ninayotaka!
ila kuna post yako umeandika kule nyuma unajua umenichekesha hadi nikahisi una lengo la kuniua kwa kunivunja mbavu!lol
Naam Kaizer, kaizer, kaizer kaizer!
yaah!nadhani saa hizi tungekuwa tunapita ktk flyoverz na usafiri wa mbagala ingekuwa huitaji kumkwida mtu ili uingie ndani ya basi.lolNdiyo majaribuni yenyewe hayo.... si bora uumwe shingo tu Serikali ingekuwa inakusanya kodi kwa kushangaa shangaa kwa aina hii basi tusingehitaji tena msaada toka kwa nchi wafadhili ili kufidia pengo katika bajeti yetu
maria roza mi nashangaa kule ukiwavurumishia mavituz wanakaa kimyaaaa wala hawakumbuki kama kuna dhambi!Inabidi apewe pongezi zake maana nilimis hili wowowo la CM
rayb huwa unaniongezea umri kwa kucheka,mpaka dkk hii kuishi bila wewe itakuwa ngumu kidogo!Ha ha haa CM itakuwa ile ya kuwa some men were left with spots on their pants, si ndio eeh? we acha kuna watu wengine vinyamkera vyao viko karibu karibu na ni rahisi sana kupigwa na stroke kwa vitu kama hivi
maria roza mi nashangaa kule ukiwavurumishia mavituz wanakaa kimyaaaa wala hawakumbuki kama kuna dhambi!
rayb huwa unaniongezea umri kwa kucheka,mpaka dkk hii kuishi bila wewe itakuwa ngumu kidogo!