cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
- Thread starter
- #121
hahaa!ila kule kwako kugumu lkn unajua jinsi yakuwtuliza maana kuna siku nilikuwa siwaoni wapwa ndio nikasikia kuwa tetesi kuwa wote wanakimbilia kwako ikabidi niombe acess astakafirulah walivokuwa wametulia utadhani walikuwa wananyolewa na kiwembe chenye kutu!Mhh wewe acha tu kule nako kugumu kweli ila nakomaa nao maana ukiwasikiliza watakupanda mpaka kichwani!!