Nina watoto sita, kila mtoto na mama yake, sitaki mama zao wawe "single mothers", nawezaje kuishi nao wote?

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Jan 23, 2022
675
1,526
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince 😋 niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wote pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince 😋 niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Kheee..!!! Hakuna cha kufanya acha ujinga
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Karne ya sasa itakua ngumu hiyo hakuna mwanamke anayependa asikie una mwanamke mwingine.
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince 😋 niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Mkuu utaweza kuwatimizia mahitaji yao ya kimwili na kihali?
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince 😋 niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Hata tajiri Bakhresa asingeweza kuishi nao wote
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Ushauri wangu tafuta pesa za kutosha.
Mjengee kila mmoja na usafiri juu.

Utaishi nao hata 7
 
Back
Top Bottom