gaintoo broisser
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 309
- 380
- Thread starter
- #41
Hapana mkuu walipeleka wazee na kuandikishana na mashahidi piaKabila lenu Hilo ndio utaratibu wa kupeleka mahari ndio mnapelekana na mama yako siku ya kwanza tu...kuulizana na mama mkwe !?? Hii chai iongezee tangawizi