Nikitumia Jogoo la kuroiler kupandisha kwa tetea wa kienyeji mayai yatatamiwa na kutotolewa?

Habari za kazi waungwana.

Samahani naomba kufahamu jambo hili linanitatiza kidogo.

Hivi endapo nitatumia majogoo ya kuku chotara aina ya kuroilers kupandisha mitetea wangu wa kienyeji, majike ya kizazi kitachopatikana yatakuwa na uwezo wa kuatamia hadi kuangua mayai?

Shukrani za awali.
kuku watakaotokea hawawezi kuatamia
 
Back
Top Bottom