samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 192
- 30
Wadau mimi ni mdau wa elimu kama mjumbe wa kamati mojawapo ya shule. Ni takribani kuanzia Januari 2024 fedha za Capitation mashuleni haziingizwi kwa wakati. Mfano fedha ya Machi na Aprili 2024 hadi sasa hazijaingizwa. Mitihani ya muhula wa kwanza ni hatihati kufanyika. Bwana Mkenda unaizungumziaje. ELIMU ELIMU ELIMU. USIMWACHE AENDE ZAKE.