supermwamba
Member
- Mar 11, 2024
- 38
- 32
Uwanja ukowazi.
Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa.
Sifa zangu:
Umri : 50
Elimu: shahada 1 &2
Kazi: Mfanya biashara
Dini: Mkristo.
Makazi: Dar.
Sifa za mchumba.
Umri: 30 +.
Elimu: kuanzia sekondari.
Kazi: aliyejiajiri au aliyeajiriwa.
Dini: mkristo.
Makazi: Mkoa wowote
Watoto: aliyenao na asiye nao.
Mzima wa viungo vyote.
Maendeleo: Mpenda maendeleo.
Mrefu wastani, asiwe bonge.
Jaribu bahati yako.
Nahitaji mchumba aliyedhamiria kweli kweli .(serious) Karibu uni PM .
Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa.
Sifa zangu:
Umri : 50
Elimu: shahada 1 &2
Kazi: Mfanya biashara
Dini: Mkristo.
Makazi: Dar.
Sifa za mchumba.
Umri: 30 +.
Elimu: kuanzia sekondari.
Kazi: aliyejiajiri au aliyeajiriwa.
Dini: mkristo.
Makazi: Mkoa wowote
Watoto: aliyenao na asiye nao.
Mzima wa viungo vyote.
Maendeleo: Mpenda maendeleo.
Mrefu wastani, asiwe bonge.
Jaribu bahati yako.
Nahitaji mchumba aliyedhamiria kweli kweli .(serious) Karibu uni PM .