change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 699
- 1,475
Hello! natumaini ni wazima, hongereni kwa majukumu ya kujenga Taifa letu. Moja kwa moja kwenye point, naitaji mchumba ambaye Mungu akipendezwa tuingie kwenye ndoa.
Wasifu wangu:
Mwanaume:umri miaka 31.
Mrefu kiasi/mnene.
Single lakini nina mtoto wa kiume 3yrs.
Dini: mkristo Catholic
Edc:elimu ya juu.
Kazi:nimeajiriwa/nimejiajiri pia.
Makaziar es esalaam
Origin:kanda ya ziwa.
Sifa za nimtakae.
Umri:22 na kuendelea.
Kimo awe mrefu kiasi,mweusi wa asili au nweupe sio mkorogo.
Edc: diploma na kuendelea awe na uelewa wa mambo mbalimbali.
Kazi:ameajiriwa au amejiajiri.
Makazi:dar es salaam au mikoa ya pembezoni.
Dini:awe mkristo anaeijua dini vizuri,awe na heshima na upendo.
Kwa ambaye yuko serious tu,tunaweza kuwasiliana PM.
Asanteni na majukumu mema.
Wasifu wangu:
Mwanaume:umri miaka 31.
Mrefu kiasi/mnene.
Single lakini nina mtoto wa kiume 3yrs.
Dini: mkristo Catholic
Edc:elimu ya juu.
Kazi:nimeajiriwa/nimejiajiri pia.
Makaziar es esalaam
Origin:kanda ya ziwa.
Sifa za nimtakae.
Umri:22 na kuendelea.
Kimo awe mrefu kiasi,mweusi wa asili au nweupe sio mkorogo.
Edc: diploma na kuendelea awe na uelewa wa mambo mbalimbali.
Kazi:ameajiriwa au amejiajiri.
Makazi:dar es salaam au mikoa ya pembezoni.
Dini:awe mkristo anaeijua dini vizuri,awe na heshima na upendo.
Kwa ambaye yuko serious tu,tunaweza kuwasiliana PM.
Asanteni na majukumu mema.