Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,058
- 4,349
Nitajie kazi moja tu iliyofanywa na Kawambwa akiwa mbunge na hata waziri nayo tukajivunia kama nchiNchi gani hizo? Mbona Marekani walimpa Urais Joe Biden? Je hakuna vijana kule? Hivi sasa Donald Trumph anautaka tena urais ,je Republic hawana vijana? Uongozi ni hekima na busara na siyo habari za umri wala mvi au ndevu kama beberu. Tuwape uongozi watu kwa kuangalia uwezo wao wa kumudu majukumu na siyo habari za ujana au uzee. Sasa vijana kama wale wahuni waliomdhalilisha Mheshimiwa Kawambwa unaweza vipi wapatia uongozi ?