2v1
Member
- Mar 28, 2024
- 7
- 14
Habari zenu wadau, mimi ni kijana, natamani siku moja niwekeze katika teknolojia, kwa muda kidogo nimekuwa nikijifunza programu kwa kujipambania mwenyewe.
Nimejifunza kwenye simu kidogo kidogo, na hii ndiyo kazi ya kwanza ambayo nimefanikiwa kutengeneza katika simu yangu.
Ni app inayonisaidia kupiga hesabu kidogo katika biashara yangu. Mwenye maoni, ushauri, n.k usisite kunijuza.
Nimejifunza kwenye simu kidogo kidogo, na hii ndiyo kazi ya kwanza ambayo nimefanikiwa kutengeneza katika simu yangu.
Ni app inayonisaidia kupiga hesabu kidogo katika biashara yangu. Mwenye maoni, ushauri, n.k usisite kunijuza.