THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 460
- 314
- Thread starter
- #41
mkuu nisaidie link yake ..Kuna ile ya Khumbu wa konda msafi
mkuu nisaidie link yake ..Kuna ile ya Khumbu wa konda msafi
yeah nimesoma nyingi sana mkuuDuh! Story zote umesoma?
Nipe linkWewe sihujasoma story zote... endelea kuperuzi humu
shukhran xana mkuu ubarikiwe.Katafute Ile ya Mpwayungu Village safari ya Lindi ila utakapoishia usimkasirikie jamaa
Ni Uzi wa kitambo sana, kuupata ni kimbembeNipe link
Ooh sawaNdio, ila haipo tena Ile.
😂😂😂Katafute Ile ya Mpwayungu Village safari ya Lindi ila utakapoishia usimkasirikie jamaa
hii nilishaisoma toka last yearNenda kwenye kula tunda kimasihara
shukhran nimeusoma na nimeumaliza mkuu.shukhran xana mkuu ubarikiwe.
Hahahahahahahahaha dah we jamaa jau sana ujueKuna story ya kaka mwarabu
Nmekukumbusha mbali mwenyewe, ukafatilia story mwanzo mwisho 😁Hahahahahahahahaha dah we jamaa jau sana ujue
Shukrani mkuu. Nimekusoma, nitalifanyia kazi.Brother mkubwa Analyse kama itakupendeza "NAKUOMBA" uziweke kwenye mfumo mzuri wa pdf ili kuwe na urahisi wa kusoma hata pale mtu anapokuwa mbali na internet
By the way unajua sanaa pokea maua yako kabla sijala ban
Pita hapa...Habari za asubuhi wanajukwaa.
Mimi nimpenzi wa kusoma story,Naombeni msaada kwenu natafuta story ya kusoma humu JF weekend hii. kiufupi sina appointment yoyote na nilitegemea waandishi wangu wangeleta miendelezo lakini naona majukumu yamewabana kidogo. Naombeni msaada wenu.
wasalam
mkuu hizi series zote nishazipita tayari toka last year....Pita hapa...
Simulizi kumi kali nilizowahi kuzisoma hapa JamiiForums
Habari wapendwa? Poleni na jukumu zito la ujenzi wa nchi yetu nzuri ya Tanzania. Ama baada ya salamu niende kwenye maada moja kwa moja. Leo nimeona nilete simulizi kumi kali nilizowahi kusoma hapa JF. Haimaanishi kwamba hizi ndio bora kuliko zingine ambazo sijazitaja hapana bali nimeamua tu...www.jamiiforums.com
mkuu hivi mwaka huu hujashusha mzigo?Shukrani mkuu. Nimekusoma, nitalifanyia kazi.
Hapanamkuu hivi mwaka huu hujashusha mzigo?