MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,387
- 1,360
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.
Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.
Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.
Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.
Ahsanteni Sana
Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.
Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.
Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.
Ahsanteni Sana