True Man11
Member
- Oct 14, 2022
- 79
- 109
Habari za majukumu Ndugu zangu,
Mimi bado naamini kupitia hapa JF na platform nyingne naweza kupata mpenzi, mchumba mpaka mke mwema kabisa, miaka inaenda Muda wa kutembea na kukutana na watu wapya kwangu changamoto saana. Naomba hata kama una ndugu jamaa au rafiki mwenye sifa za nimtakaye unisaidie kuniunganisha naye, nitashukuru saana na Mungu atabariki.
Miaka yangu 36
Naishi Dar es Salaama
Muajiriwa sector binafsi
Mimi ni mrefu/Mweusi
Naomba Mwanamke nyenye sifa hizi:-
Miaka 23-32
Aishi Dar es Salaam (Au awe tayari kuja Dar es Salaam au mikoa ya jirani)
mrefu wa wastan (asiwe mfupi)
Elimu yoyote, kabila lolote.
Mengine zaidi naomba tuwasiliane PM au kwa whatsApp 0743 935 757
Asanteni kwa muda wenu.
Mimi bado naamini kupitia hapa JF na platform nyingne naweza kupata mpenzi, mchumba mpaka mke mwema kabisa, miaka inaenda Muda wa kutembea na kukutana na watu wapya kwangu changamoto saana. Naomba hata kama una ndugu jamaa au rafiki mwenye sifa za nimtakaye unisaidie kuniunganisha naye, nitashukuru saana na Mungu atabariki.
Miaka yangu 36
Naishi Dar es Salaama
Muajiriwa sector binafsi
Mimi ni mrefu/Mweusi
Naomba Mwanamke nyenye sifa hizi:-
Miaka 23-32
Aishi Dar es Salaam (Au awe tayari kuja Dar es Salaam au mikoa ya jirani)
mrefu wa wastan (asiwe mfupi)
Elimu yoyote, kabila lolote.
Mengine zaidi naomba tuwasiliane PM au kwa whatsApp 0743 935 757
Asanteni kwa muda wenu.