Kabisa....wakisema hamna waoaji kwa kweli tuwashangae....itakuwa wao wana matatizoHalafu nisikie kuna single lady hapa jf analalamika kuwa hakuna mwanaume wa kumuoa, aki nitamshangaa.
Kabisa....wakisema hamna waoaji kwa kweli tuwashangae....itakuwa wao wana matatizoHalafu nisikie kuna single lady hapa jf analalamika kuwa hakuna mwanaume wa kumuoa, aki nitamshangaa.
Tena makubwa sana.itakuwa wao wana matatizo
NopeUnique Flower njoo huku
Niende wapi?Nenda wewe kwani huitaji mume
Ukapate mumeNiende wapi?
nmekuja npo very seriousHabari wana JF,
Natafuta mwanamke ambaye yupo tayari ku settle na kuwa mke wangu halali na kujenga familia pamoja.
Sifa za huyo mwanamke ziwe kama ifuatavyo:
Location: Nipo Mbeya mjini, sihitaji mapenzi ya mbali (long distance relationship), kama upo interested and your not living Mbeya town, then accept to be relocated to follow your husband not otherwise.
- Mwenye hofu ya Mungu
- Anayejielewa sio waluwalu
- Awe na elimu ya kidato cha nne (form four) na kuendelea hadi alipofikia
- Kama ni mwajiriwa - kada yeyote ile ya utumishi, karibu sana
- Kama single mother - mtoto asizidi mmoja
- Uwe tayari kuolewa na sio drama
NB: if you're interested, you're mostly welcome, and please hit my pm for more conversation.
nenda pmnmekuja npo very serious
Habari wana JF,
Natafuta mwanamke ambaye yupo tayari ku settle na kuwa mke wangu halali na kujenga familia pamoja.
Sifa za huyo mwanamke ziwe kama ifuatavyo:
Location: Nipo Mbeya mjini, sihitaji mapenzi ya mbali (long distance relationship), kama upo interested and your not living Mbeya town, then accept to be relocated to follow your husband not otherwise.
- Mwenye hofu ya Mungu
- Anayejielewa sio waluwalu
- Awe na elimu ya kidato cha nne (form four) na kuendelea hadi alipofikia
- Kama ni mwajiriwa - kada yeyote ile ya utumishi, karibu sana
- Kama single mother - mtoto asizidi mmoja
- Uwe tayari kuolewa na sio drama
NB: if you're interested, you're mostly welcome, and please hit my pm for more conversation.
Hahaha dahSasa si arudi Dar uwanja wa fisi akutane na U.T.I Sugu
Alafu we si uko hapo mjini unaachaje Bingo hiyo?
Kamtengeneze Huyo Mbwiga.
Nafurahi kusikia hivyo mdada96 lakini hadi muda huu bado nasubiria pm yako sijaipata. Au bado unaendelea kuandika?nmekuja npo very serious
Wanaringaga na wanadharau na hawana aibu kukutreat sheet yaani hujawahi ishi naoHow can a Dr hustle like this in finding a wife here? Tanzanian ladies tuweni serious jamani..
Haiwezekani mtu mwenye maisha yake na profile kubwa hivi na tangazo zuri namna hii la kutafuta mke apambane hivi, siku zote hizi toka ametoa tangazo bado hajampata mmoja.
Tuweni serious na maisha ladies...
Inawezekana wadada tumeenda ila hajaridhika na muonekano wetu,..How can a Dr hustle like this in finding a wife here? Tanzanian ladies tuweni serious jamani..
Haiwezekani mtu mwenye maisha yake na profile kubwa hivi na tangazo zuri namna hii la kutafuta mke apambane hivi, siku zote hizi toka ametoa tangazo bado hajampata mmoja.
Tuweni serious na maisha ladies...
Wanaangalia muonekano...Inawezekana wadada tumeenda ila hajaridhika na muonekano wetu,..
Lazima atakuwa anaangalia wa kuendana pia.
Kumbe eeh basi wabadilikeWanaringaga na wanadharau na hawana aibu kukutreat sheet yaani hujawahi ishi nao