Hapo unatafuta watu sita tofauti 😂😂😂sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
Hello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
daaah, umetishaKwenye elimu ya chuo ungesema chuo level gani maana sikuhizi hata madrasa wanaita chuo.
Hivi wanyambo ni watu wa kutokea wapi?Waoaji wanapita kimya kimya kuelekea PM....
Kila la kheri bibi harusi mtarajiwa.
bakia huku huku kwetu....huko unyamboni...kuna wenyewe.
Hongera Sana
Ngara Kagera Tanzania Wanyambwa
Hongera Karibu Sana PM
Nasema Uongo Ndugu ZanguNgara Kuna washubi na wahangaza
Wanyambo ni Kyerwa na Karagwe
Weka rekodi sawa
Kila la heri nakutakia.Hello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
All the bestHello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
KaribuHello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.