Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,091
- 991
Je bikra ipo ?24 unataka kuolewa!! Ebu kua kua kidogo
Je bikra ipo ?24 unataka kuolewa!! Ebu kua kua kidogo
Waoaji wanapita kimya kimya kuelekea PM....
Kila la kheri bibi harusi mtarajiwa.
😂😂Waoaji wanapita kimya kimya kuelekea PM....
Kila la kheri bibi harusi mtarajiwa.
Unaeza kufikiri mtu ana diploma au degree kumbe kasoma juzuu tatu madrasa.
Hamna niliposema sio elimu mkuu.Kwani elimj ya madrasa sio elimu?
Njoo PM.Hello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
Madrasa imeanza kuitwa chuo siku hizi?Kwenye elimu ya chuo ungesema chuo level gani maana sikuhizi hata madrasa wanaita chuo.
Hivi wanyambo na wahaya mpo tofauti?Asante dear.
Kiongozi, Ngara ni kwa Wahangaza, Karagwe ni kwa Wanyambo. Hao Wanyambwa wako Manyoni na ni jamii ya Wagogo. Ndio hao kina Prof. Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi.Hongera Sana
Ngara Kagera Tanzania Wanyambwa
Hongera Karibu Sana PM
SawaKiongozi, Ngara ni kwa Wahangaza, Karagwe ni kwa Wanyambo. Hao Wanyambwa wako Manyoni na ni jamii ya Wagogo. Ndio hao kina Prof. Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi.
Vv