Naona Syria inaenda kuwa uwanja wa vita kati ya Iran na Israel; sijui Assad amekubalije nchi yake kila mtu kujikatia kipande chake

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
1,094
1,278
Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran.

Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote kutoka Iran.

Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria. Pia kauli ya kuanza na Jerusalem kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili mbaya kwa Israel.

Vile vile naonyesha Iran ameamua kupigana vita jumla na Israel na akitamani Sana kutimiza ndoto yake ya miaka mingi ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia.

Huu msafara wa kwenda Syria una maana kwamba Iran hataki kumshambulia Israel moja kwa moja KUTOKA nchini kwake Bali kupitia Syria.

Na pengine anaweza akaanza kuiteka milma Golan ambayo itampa tageti ya moja kwa moja kumshambulia Jerusalem ambayo ndo kipaumbele chake.

Sitaki kuzungumzia majibu ya Israel kwa iran lakini nachotamani Iran usijaribu kufanya hivyo ingawa madhara yanakuwa pande zote lakini Ayatollah atakuwa ameleta madhara makubwa kwenye utawala wake.
 
Kwa alichokifanya Israel si kwamba ameshambulia utawala wa Iran. Alichokifanya ni kuishambulia Iran. Hilo inabidi ulielewe.

Unachokifikiria wachambuzi wa historia wanasema ndilo kosa lilimgharimu USA wakati wa vita ya Korea kaskazini na Korea kusini. USA ilidhani raia wa China hawatoingia vitani nao kwa kuwa utawala wa China wa Mao unaonekana ukiwadidimiza raia wake.

Kumbe kwa wachina ni tofauti. Matatizo ya ndani ya nchi yao watayamaliza wenyewe ila ukivamia nchi yao wataungana na kupambana na wewe kwanza.

Hili ndilo wengi humu tunashindwa kulielewa: Wengi wanasema utawala wa Ayatollah utang'olewa. Lakini hawajui kuvamia ubalozi wa nchi nyengine kuna maanisha nini! Kwa ufupi Israel imefanya makosa makubwa sana. Kwa hii hali ni kuangalia busara ya Iran itaamua vipi! Na kwa kutaka kufahamu ni kosa kubwa angalia anachopitia Israel kwa sasa. Mara afunge balozi, nchi yote kaiweka kwenye hatari ya kivita n.k
 
Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran.

Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote KUTOKA Iran.

Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria
Pia kauli ya Kuanza na Jerusalem Kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili mbaya kwa Israel

Vile vile naonyesha Iran ameamua kupigana vita jumla na Israel na akitamani Sana kutimiza ndoto yake ya miaka Mingi ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia

Huu msafara wa kwenda Syria una maana kwamba Iran hataki kumshambulia Israel moja kwa moja KUTOKA nchini kwake Bali kupitia Syria.

Na pengine anaweza akaanza kuiteka milma Golan ambayo itampa tageti ya moja kwa moja kumshambulia Jerusalem ambayo ndo kipaumbele chake

Sitaki kuzungumzia majibu ya Israel kwa iran lakini nachotamani Iran usijaribu kufanya hivyo ingawa madhara yanakuwa pande zote lakini Ayatollah atakuwa ameleta madhara makubwa kwenye utawala wake
Hivi kwa nini humu watu wengi wanahofia kuhusu Jamhuri ya kiislam ya Iran ambayo imewekwa na Wairan wenyewe kupitia mapinduzi kwamba ipo mashakani kuangushwa ?
 
Kwa alichokifanya Israel si kwamba ameshambulia utawala wa Iran. Alichokifanya ni kuishambulia Iran. Hilo inabidi ulielewe.

Unachokifikiria wachambuzi wa historia wanasema ndilo kosa lilimgharimu USA wakati wa vita ya Korea kaskazini na Korea kusini. USA ilidhani raia wa China hawatoingia vitani nao kwa kuwa utawala wa China wa Mao unaonekana ukiwadidimiza raia wake.

Kumbe kwa wachina ni tofauti. Matatizo ya ndani ya nchi yao watayamaliza wenyewe ila ukivamia nchi yao wataungana na kupambana na wewe kwanza.

Hili ndilo wengi humu tunashindwa kulielewa: Wengi wanasema utawala wa Ayatollah utang'olewa. Lakini hawajui kuvamia ubalozi wa nchi nyengine kuna maanisha nini! Kwa ufupi Israel imefanya makosa makubwa sana. Kwa hii hali ni kuangalia busara ya Iran itaamua vipi! Na kwa kutaka kufahamu ni kosa kubwa angalia anachopitia Israel kwa sasa. Mara afunge balozi, nchi yote kaiweka kwenye hatari ya kivita n.k
Nilisisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa jeshi la Israel na utawala wa Israel unao ongozwa vichaa wenye viburi wasio jitambua.

Namna wanavyo pigana vita vya Gaza, maamuzi yao, kushambulia balozi unaona kabisa lile ni gende la wahalifu na wendawazimu na sio jeshi linalo jitambua.

Serious kabisa jeshi linachukua maamuzi ya kushambulia ubalozi wa taifa lengine wale watu ni vichaa wanaopewa backup na vichaa wenzao wa magharibi.

Jambo lengine nashangaa sana humu watu wana hofia kuhusu utawala wa kiislam Iran kana kwamba umejiweka wenyewe kibabe wakati uliwekwa na Wairan wenyewe.
 
Hii ni mikakati iliyopangwa siku nyingi. Wanaomuunga mkono Israel wanajua kwamba nchi zinazozunguka Israel hazizungumzi lugha moja. Wamefanikiwa kuwagawa waarabu na waislamu. Hivyo ni wakati mzuri kwa Israel kuwaangamiza maadui zake
 
Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran.

Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote KUTOKA Iran.

Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria
Pia kauli ya Kuanza na Jerusalem Kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili mbaya kwa Israel

Vile vile naonyesha Iran ameamua kupigana vita jumla na Israel na akitamani Sana kutimiza ndoto yake ya miaka Mingi ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia

Huu msafara wa kwenda Syria una maana kwamba Iran hataki kumshambulia Israel moja kwa moja KUTOKA nchini kwake Bali kupitia Syria.

Na pengine anaweza akaanza kuiteka milma Golan ambayo itampa tageti ya moja kwa moja kumshambulia Jerusalem ambayo ndo kipaumbele chake

Sitaki kuzungumzia majibu ya Israel kwa iran lakini nachotamani Iran usijaribu kufanya hivyo ingawa madhara yanakuwa pande zote lakini Ayatollah atakuwa ameleta madhara makubwa kwenye utawala wake
Asad hajaruhusu
Nchi ilishamshinda hivo hata syria si sehemu zote ambazo ambazo hazi control kuna sehemu ana control Turkey, Israel,Russia na Iran
 
ila kuvamia ndan ya Israel sio kosa?
Kwa alichokifanya Israel si kwamba ameshambulia utawala wa Iran. Alichokifanya ni kuishambulia Iran. Hilo inabidi ulielewe.

Unachokifikiria wachambuzi wa historia wanasema ndilo kosa lilimgharimu USA wakati wa vita ya Korea kaskazini na Korea kusini. USA ilidhani raia wa China hawatoingia vitani nao kwa kuwa utawala wa China wa Mao unaonekana ukiwadidimiza raia wake.

Kumbe kwa wachina ni tofauti. Matatizo ya ndani ya nchi yao watayamaliza wenyewe ila ukivamia nchi yao wataungana na kupambana na wewe kwanza.

Hili ndilo wengi humu tunashindwa kulielewa: Wengi wanasema utawala wa Ayatollah utang'olewa. Lakini hawajui kuvamia ubalozi wa nchi nyengine kuna maanisha nini! Kwa ufupi Israel imefanya makosa makubwa sana. Kwa hii hali ni kuangalia busara ya Iran itaamua vipi! Na kwa kutaka kufahamu ni kosa kubwa angalia anachopitia Israel kwa sasa. Mara afunge balozi, nchi yote kaiweka kwenye hatari ya kivita n.k
 
Nilisisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa jeshi la Israel na utawala wa Israel unao ongozwa vichaa wenye viburi wasio jitambua.

Namna wanavyo pigana vita vya Gaza, maamuzi yao, kushambulia balozi unaona kabisa lile ni gende la wahalifu na wendawazimu na sio jeshi linalo jitambua.

Serious kabisa jeshi linachukua maamuzi ya kushambulia ubalozi wa taifa lengine wale watu ni vichaa wanaopewa backup na vichaa wenzao wa magharibi.

Jambo lengine nashangaa sana humu watu wana hofia kuhusu utawala wa kiislam Iran kana kwamba umejiweka wenyewe kibabe wakati uliwekwa na Wairan wenyewe.
Jamani tuwe wapole tusionyeshe huruma kwa Israel, Iran alishatangaza kuifuta Israel, alishasema kupitia washirika wake tayari ameizunguka Israel na muda wowote ataisukumia kwenye bahari ya mediterranean, sasa Israel kashambulia adui wake , shida iko wapi? Na Syria ni uwanja wa vita, vita haviwezi kuishia Syria vitafika mpaka Iran na Israel, nawapa pole Syria , Rais wahame mapema, dunia inaweza kushuhudia kwa mara nyingine bomu la nyukilia linapigwa.
 
Hii ni mikakati iliyopangwa siku nyingi. Wanaomuunga mkono Israel wanajua kwamba nchi zinazozunguka Israel hazizungumzi lugha moja. Wamefanikiwa kuwagawa waarabu na waislamu. Hivyo ni wakati mzuri kwa Israel kuwaangamiza maadui zake
Wacha weeeh!
 
Nilisisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa jeshi la Israel na utawala wa Israel unao ongozwa vichaa wenye viburi wasio jitambua.

Namna wanavyo pigana vita vya Gaza, maamuzi yao, kushambulia balozi unaona kabisa lile ni gende la wahalifu na wendawazimu na sio jeshi linalo jitambua.

Serious kabisa jeshi linachukua maamuzi ya kushambulia ubalozi wa taifa lengine wale watu ni vichaa wanaopewa backup na vichaa wenzao wa magharibi.

Jambo lengine nashangaa sana humu watu wana hofia kuhusu utawala wa kiislam Iran kana kwamba umejiweka wenyewe kibabe wakati uliwekwa na Wairan wenyewe.
Upo sahihi kabisa ndugu yangu.

Maamuzi anayoyafanya Israel ni kama ya mwendawazimu. Ni sahihi kabisa kusema inaongozwa na genge la wahalifu waliyojaa viburi.

Mara ngapi mataifa makubwa yamekuwa yakitofautiana mpaka kufika hatua mbaya lakini hatosikia wamelipua balozi za hasidi wake. Kwa sababu licha ya uhasidi wao ila wana utimamu.

Ila Israel asichokijua ni kwamba kabla haya anayoyafanya walimwengu walimpa jicho maalumu. Kwa haya anayoyafanya na anachoendelea kufanya siku baada ya siku anapunguza ushawishi. Kwenye baraza la UN wamebakia US na UK ndiyo wanaompigania.

Hao wanaopinga ni wakuachana nao ndugu. Vijana wa siku hizi ni shida! Kama nina desa huwa namuwekea pdf aisome mwenyewe. Kama akiendelea na ujinga wake namuacha kwa sababu asiyejua maana asiambiwe maana. Kwa sababu ukiendelea kumjibu, kwake anachukulia ni kama burudani fulani hivi kujibishana kwa namna hiyo. Hivyo muache mwenyewe aendelee ku entertain ujinga wake.
 
Nilisisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa jeshi la Israel na utawala wa Israel unao ongozwa vichaa wenye viburi wasio jitambua.

Namna wanavyo pigana vita vya Gaza, maamuzi yao, kushambulia balozi unaona kabisa lile ni gende la wahalifu na wendawazimu na sio jeshi linalo jitambua.

Serious kabisa jeshi linachukua maamuzi ya kushambulia ubalozi wa taifa lengine wale watu ni vichaa wanaopewa backup na vichaa wenzao wa magharibi.

Jambo lengine nashangaa sana humu watu wana hofia kuhusu utawala wa kiislam Iran kana kwamba umejiweka wenyewe kibabe wakati uliwekwa na Wairan wenyewe.
Wewe ndio hujitambua mkuu!
Israel pale ilipo imezungukwa na maadui pande zote! Na kuna wakati Ayatollah hutamka kwamba Israel inatakiwa kufutwa kwenye ramani ya dunia.

HAMAS, Hezbolla na Houth wote wale wamewekwa na Iran ili kumsumbua Israel. Katila hali kama hiyo lazima Israel iwe na majibu ya ukichaa kwa takataka yeyote anayejipendekeza kwake.
 
Upo sahihi kabisa ndugu yangu.

Maamuzi anayoyafanya Israel ni kama ya mwendawazimu. Ni sahihi kabisa kusema inaongozwa na genge la wahalifu waliyojaa viburi.

Mara ngapi mataifa makubwa yamekuwa yakitofautiana mpaka kufika hatua mbaya lakini hatosikia wamelipua balozi za hasidi wake. Kwa sababu licha ya uhasidi wao ila wana utimamu.

Ila Israel asichokijua ni kwamba kabla haya anayoyafanya walimwengu walimpa jicho maalumu. Kwa haya anayoyafanya na anachoendelea kufanya siku baada ya siku anapunguza ushawishi. Kwenye baraza la UN wamebakia US na UK ndiyo wanaompigania.

Hao wanaopinga ni wakuachana nao ndugu. Vijana wa siku hizi ni shida! Kama nina desa huwa namuwekea pdf aisome mwenyewe. Kama akiendelea na ujinga wake namuacha kwa sababu asiyejua maana asiambiwe maana. Kwa sababu ukiendelea kumjibu, kwake anachukulia ni kama burudani fulani hivi kujibishana kwa namna hiyo. Hivyo muache mwenyewe aendelee ku entertain ujinga wake.
US na UK ndio UN yenyewe
 
Wewe ndio hujitambua mkuu!
Israel pale ilipo imezungukwa na maadui pande zote! Na kuna wakati Ayatollah hutamka kwamba Israel inatakiwa kufutwa kwenye ramani ya dunia.

HAMAS, Hezbolla na Houth wote wale wamewekwa na Iran ili kumsumbua Israel. Katila hali kama hiyo lazima Israel iwe na majibu ya ukichaa kwa takataka yeyote anayejipendekeza kwake.
Kushambulia ubalozi wa taifa lengine kwa jeshi na serikali inayo jitambua ni sahihi ?
 
Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran.

Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote KUTOKA Iran.

Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria
Pia kauli ya Kuanza na Jerusalem Kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili mbaya kwa Israel

Vile vile naonyesha Iran ameamua kupigana vita jumla na Israel na akitamani Sana kutimiza ndoto yake ya miaka Mingi ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia

Huu msafara wa kwenda Syria una maana kwamba Iran hataki kumshambulia Israel moja kwa moja KUTOKA nchini kwake Bali kupitia Syria.

Na pengine anaweza akaanza kuiteka milma Golan ambayo itampa tageti ya moja kwa moja kumshambulia Jerusalem ambayo ndo kipaumbele chake

Sitaki kuzungumzia majibu ya Israel kwa iran lakini nachotamani Iran usijaribu kufanya hivyo ingawa madhara yanakuwa pande zote lakini Ayatollah atakuwa ameleta madhara makubwa kwenye utawala wake
Tunaomba picha ndugu mwandishi tuone na sisi huo msafara
 
Nilisisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa jeshi la Israel na utawala wa Israel unao ongozwa vichaa wenye viburi wasio jitambua.

Namna wanavyo pigana vita vya Gaza, maamuzi yao, kushambulia balozi unaona kabisa lile ni gende la wahalifu na wendawazimu na sio jeshi linalo jitambua.

Serious kabisa jeshi linachukua maamuzi ya kushambulia ubalozi wa taifa lengine wale watu ni vichaa wanaopewa backup na vichaa wenzao wa magharibi.

Jambo lengine nashangaa sana humu watu wana hofia kuhusu utawala wa kiislam Iran kana kwamba umejiweka wenyewe kibabe wakati uliwekwa na Wairan wenyewe.
Upo sahihi kabisa ndugu yangu.

Maamuzi anayoyafanya Israel ni kama ya mwendawazimu. Ni sahihi kabisa kusema inaongozwa na genge la wahalifu waliyojaa viburi.

Mara ngapi mataifa makubwa yamekuwa yakitofautiana mpaka kufika hatua mbaya lakini hatosikia wamelipua balozi za hasidi wake. Kwa sababu licha ya uhasidi wao ila wana utimamu.

Ila Israel asichokijua ni kwamba kabla haya anayoyafanya walimwengu walimpa jicho maalumu. Kwa haya anayoyafanya na anachoendelea kufanya siku baada ya siku anapunguza ushawishi. Kwenye baraza la UN wamebakia US na UK ndiyo wanaompigania.

Hao wanaopinga ni wakuachana nao ndugu. Vijana wa siku hizi ni shida! Kama nina desa huwa namuwekea pdf aisome mwenyewe. Kama akiendelea na ujinga wake namuacha kwa sababu asiyejua maana asiambiwe maana. Kwa sababu ukiendelea kumjibu, kwake anachukulia ni kama burudani fulani hivi kujibishana kwa namna hiyo. Hivyo muache mwenyewe aendelee ku entertain ujinga wake.
20230316_002207.jpg
 
Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran.

Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote KUTOKA Iran.

Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria
Pia kauli ya Kuanza na Jerusalem Kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili mbaya kwa Israel

Vile vile naonyesha Iran ameamua kupigana vita jumla na Israel na akitamani Sana kutimiza ndoto yake ya miaka Mingi ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia

Huu msafara wa kwenda Syria una maana kwamba Iran hataki kumshambulia Israel moja kwa moja KUTOKA nchini kwake Bali kupitia Syria.

Na pengine anaweza akaanza kuiteka milma Golan ambayo itampa tageti ya moja kwa moja kumshambulia Jerusalem ambayo ndo kipaumbele chake

Sitaki kuzungumzia majibu ya Israel kwa iran lakini nachotamani Iran usijaribu kufanya hivyo ingawa madhara yanakuwa pande zote lakini Ayatollah atakuwa ameleta madhara makubwa kwenye utawala wake
Siku ukisikia USA nayo inatoa wakimbizi Isreal nayo inaicha ardhi za waislam na wanakimbilia kwa Germany
 
Back
Top Bottom